Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Leo baada ya hizi teuzi za maadhi ya mawaziri na manaibu wake,huku mzee wa sheria KABUDI akiwekwa kando katika baraza hilo,.
Naziona hesabu za Raisi samia za kumpeleka huyu mwanasheria nguli akawe spika wa bunge la jamuhuri ya tanzania
 
Niko nasikiliza wimbo wa Roma " Nimesoma PCM siyo PCB...nchi imeuzwa vigogo wanapita atm...tuwazomee wote mafisadi..."
 
Hadithi
 
Leo baada ya hizi teuzi za maadhi ya mawaziri na manaibu wake,huku mzee wa sheria KABUDI akiwekwa kando katika baraza hilo,.
Naziona hesabu za Raisi samia za kumpeleka huyu mwanasheria nguli akawe spika wa bunge la jamuhuri ya tanzania
Hawezi huyo ni team JPM
 
Nashauri hicho kiti akikalie mzee Jakaya Kikwete kama katiba inaruhusu au kama haiwrzekani basi apewe mjane wa Chayo
 
Nawaambieni lukuvi anaandaliwa, atapewa wizara nyingine, kuna tetesi kuwa ataweza kuwa spika au kumkaimu matelephone mark my word.........Lukuvi ametolewa kwa mkakati ili awekwe mahali kimkakati
 
Nawaambieni lukuvi anaandaliwa, atapewa wizara nyingine, kuna tetesi kuwa ataweza kuwa spika au kumkaimu matelephone mark my word.........Lukuvi ametolewa kwa mkakati ili awekwe mahali kimkakati
Mama anampenda sana Lukuvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…