The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Unadhani kwa nini nae aliletewa Fitina? Kazi ya spika sio kufitinisha serikali na wananchi.Bunge la samwel sitta nalikubali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kwa nini nae aliletewa Fitina? Kazi ya spika sio kufitinisha serikali na wananchi.Bunge la samwel sitta nalikubali sana
Ila apunguze mihemko na msimamo mkali Ili kufurahisha boss wakeHakuna namna ni Tulia Akson Mwansasu
Tutamtoa Chato kwa sukuma gangSpeaker atakuwa mzanzibari. Zenj zamu yao.
Sukuma gang tena? No wayMimi napempendekeza Andrew Chenge. Sababu zangu ni hizi
nimezitoa kwenye bandiko hili
Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants
Wanabodi, Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwasababu kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubadilisha to change for the better!. Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi...www.jamiiforums.com
No... hatamfunika, it's the other way around, baada ya Mama kuanza to show her true colors na kukunjua makucha, her weaknesses pia are now visible with plain eyes, hivyo kiukweli kabisa, Mama anahitaji kusaidiwa seriously ili aweze, Dr. Tulia hawezi kumsaidia but Chenge can!. Tumeona madhara ya a compromised perliament, Chenge sio a compromising man kwenye vitu vya kijinga jinga, hivyo atamsaidia sana Mama, kulisaidia Bunge lisipitishe sheria za ajabu ajabu na kulisaidia Taifa.
P
Huu ni ukabila, ubaguzi na kutuonea!, mimi sikuangalia kabila lake nimeweka sifa zake, kama the best of the best ni Msukuma, asipitishwe kwasababu ya kabila lake?.Sukuma gang tena? No way
Soma katiba,hilo halipo kwenye muunganoNi zamu ya mzanzibari kuwa speaker wa bunge sasa, haijawahi kutokea mzanzibari kushika nafasi hio, wakati ni huu
Bunge ni la jamhuri ya muungano,mbunge anaetoka popote anaweza kuwa mkuu wa bunge,ama katibu mkuu,naibu spika au spikaSoma katiba,hilo halipo kwenye muungano
Yule naibu hapana. Sijui alipenetrate vipi hadi kufikia unaibu, hata huyo spika sijui alifikaje hapoWampe naibu wake
😁😁😁😁 KweliBunge lote tu halina radha tena natamani hata livunjwe!
Apewe huyu..hakuna namnaKufuatia kujiuzulu kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai leo hii, kiti cha Spika kipo wazi. Je nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge letu?
Kwani naibu Tulia katiba inasemaje?Kufuatia kujiuzulu kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai leo hii, kiti cha Spika kipo wazi. Je nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge letu?
Uvutaji wa Bange / Bangi kwa Wabunge Wote Bungeni utaruhusiwa na hata Kuuziana humo humo Wabunge kwa Wabunge.
Ujue sasahivi Halima tumbo joto kwa kuondokewa na mtetezi wao.Halima mdee
Kuna wakati nilikuwa na mawazo kama haya ila baadae nikagundua nilikuwa nawaza ujinga. Hebu angalia mifano ya vijana wafuatao, Bashite, Ali Hapi , Gambo, Biswalo, Mnyeti, Ole Sabaya etc. Mwishoni utagundua mtu kuwa kiongozi mzuri hakutegemei sana umri, uwezo binafsi ndio kigezo cha kuangalia.Tunaendelea kuwapendekeza wazee baada ya kutafuta damu changa ili ziweze kusukuma gurudumu hili. Wazee mda wao imekwisha Ila kipindi cha magufuli alikuepo anawaibua vijana .
Huyu ndiye kinara wa kuanzisha miamala ya simu, huyu mzee hana maana yoyote.Zungu angefaa lakini Afya haimruhusu ya akili ni kama ndugai tuu na nimemwona hivi karibuni hapana anaweza kutumwaga zaidi mwezi ukiwa mchanga
1.x,2.x,3√4.,5.x6x,7.x8.,9x,10 xNdugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
namba 6 na 10 umerudia ....Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Mkuu hao wote hamna watampa bashiru ili kubalance mzani 2025Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe