Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,342
- 1,596
Watumiaji wa mabavu wa wakati wa Mwendazake hawana nafasi katika awamu ya sitaNaandika maneno machace sana....Kabudi ndiye spika Mpya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watumiaji wa mabavu wa wakati wa Mwendazake hawana nafasi katika awamu ya sitaNaandika maneno machace sana....Kabudi ndiye spika Mpya...
Kati ya 12, 9 wako hai na wanagharimiwa na serikali?Julius Nyerere
Rashid Kawawa
Edwad Sokoine
Cleopa msuya
Edwad Sokoine (second time)
Salim A Salim
Joseph Warioba
John Malechela
Cleopa Msuya (Second time)
Fedrec Sumaye
Edwad Lowassa
Mizengo pinda
Majaliwa Majaliwa
Who is next?
Baada ya kuona ile FAKE NEWS nikawaza kama wewePindi tutakapopata Spika Mpya Waziri Mkuu atajiuzulu kwa hiari au kulazimishwa. Then Mama ataunda serikali yake kamili na mpya ya awamu ya sita
Wabara hamjui kiswahili.yote ni heli tu duuuh,inaandikwa hivi Yote ni kheri tu.YOTE ni heli tu....
Hata wewe hujui kiswahili, unapoweka nukta anza na herufi kubwaWabara hamjui kiswahili.yote ni heli tu duuuh,inaandikwa hivi Yote ni kheri tu.
Kwani hamjui kazi ya wamama ni kuchungulia kwenye simu zetu simu yangu nimeiacha bila password kumrahisishia girlfriend wanguHiyo ndio kazi anayoiweza..
kila siku kuchungulia kama kuna msaliti tuunde baraza jingine.
Japo hata wasaliti hawajui.
Wewe Ni kichaaMake my words, mheshimiwa ni speaker ajaye
Nilifikiri ni confirmed kumbe mark my words.
Yule ana misimamo ya mitero hawezi alafu kule ni muhimili mwingine anaweza fanya mambo ya kukomoa.bora hata chenge au zungu au lukuvi kati ya hawa 3 apatikane hapo mmojaMake my words, mheshimiwa ni speaker ajaye
Huyo Zungu sitaki hata kumuona hapo ntasali usiku na mchana ili asifikie hapo anakera hata kumtazama tu!Yule ana misimamo ya mitero hawezi alafu kule ni muhimili mwingine anaweza fanya mambo ya kukomoa.bora hata chenge au zungu au lukuvi kati ya hawa 3 apatikane hapo mmoja
Ndio hivyo uongozi ni lawamaHuyo Zungu sitaki hata kumuona hapo ntasali usiku na mchana ili asifikie hapo anakera hata kumtazama tu!