Kuna hazina kibao zanzibar mama tu mwenyeweAmeshachoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hazina kibao zanzibar mama tu mwenyeweAmeshachoka
Naunga mkono hojaHalima Mdee
Musa Asad itafaa zaidiMake my words, mheshimiwa ni speaker ajaye
Basi nenda wewe ukagombee ili kumzuia asipate uspika.Huyo Zungu sitaki hata kumuona hapo ntasali usiku na mchana ili asifikie hapo anakera hata kumtazama tu!
Kama kuna kumchukia mtu basi nafikiri huyo mjamaa ninamchukia mno.nambar 1
Unaweza ukafanya kampeni lakini wapiga kura wasikuelewe halafu mbaya zaidi kama nawewe sio mpiga kura itakua umefanya kazi ya hasaraMzee chukua fomu ya uspika mimi binafsi sina shaka na weledi wako nina Imani kubwa na wewe na kampeni nitakupigia
Yani kama watampa hiyo nafasi watakuwa wamecheza sanaAkichukua ndani ya chama watamkata wanajua lukuvi anapendwa sana na watanzania wanajaribu kuua nyota yake
Wajumbe ndo balaa hila tumubeeNdiyo Nuksi
Wajumbe
SPIKA NI TULIA, NAIBU ZUNGUKufuatia kujiuzulu kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai leo hii, kiti cha Spika kipo wazi. Je nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge letu?
Tulia ubunge wenyewe umemshinda atawezaje kuliongoza bunge?Wanajukwaa ,Napenda niwambie kwamba kwa hali ilivo Hawa ndo wateule .Je ni kwa nini Dr Nchimbi atakua naibu spika jibu ni kwamba atakua hivo ili kimkontloo spika Tulia Akson,hivo basi Nchimbi ndo atakua na nguvu kuliko spika .
Manake pia ni kwamba Nchimbi ndo mtoto mpendwa kwa akina Mama.
Ndiyo atakuwa Spika mbovu kuliko hata NdugaiWanajukwaa ,Napenda niwambie kwamba kwa hali ilivo Hawa ndo wateule .Je ni kwa nini Dr Nchimbi atakua naibu spika jibu ni kwamba atakua hivo ili kimkontloo spika Tulia Akson,hivo basi Nchimbi ndo atakua na nguvu kuliko spika .
Manake pia ni kwamba Nchimbi ndo mtoto mpendwa kwa akina Mama.