Mhhh!Kutonywa na Tulia ni uongo mtakatifu hakuna asiye penda cheo labda Einstein.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh!Kutonywa na Tulia ni uongo mtakatifu hakuna asiye penda cheo labda Einstein.
Bashite aralia bungeni mpaka mtakimbiaMbona hadithi za juu ya kapeti ni Daudi Albert Bashite?
Huo utakuwa msiba mwingine, Dr. ni mhafidhina na anaamini zaidi katika mawazo yake na wahafidhina wenzie, dunia ya leo inataka watu wanaoamini dunia inao watu wa mawazo na itikadi zaidi na yako na lazima washiriki katika kuleta maendeleo ya wote. CCM inakoseaga hapa!!??? yaani ataukijuiliza Job alikuwa na record gani mpaka kushika kazi ya kutumia akili na kutengeneza muelekeo wa nchi hii.Salam!!!
za chini ya kapeti kabisa aliyekuwa katibu mkuu wa CCM kisha katibu Mkuu kiongozi Dk. Bashiru Ally ndiye anaendaliwa kuwa spika wa bunge mpya siku yoyote ataenda kuchukua fomu hiyo
kila la kheri dk. Bashiru
Mwanakijani mbaguzi katika anga zako.CCM ya sasa' haiwezi kufanya kosa kubwa kama hilo kwa mwanaCUF awe spika
USSR
Acha urongo.Salam!!!
za chini ya kapeti kabisa aliyekuwa katibu mkuu wa CCM kisha katibu Mkuu kiongozi Dk. Bashiru Ally ndiye anaendaliwa kuwa spika wa bunge mpya siku yoyote ataenda kuchukua fomu hiyo
kila la kheri dk. Bashiru
Spika wakati bunge lenyewe hatuna, tuna kundi la wana CCM wezi wa kura waliojipa ubunge bila ridhaa ya wananchi.Kufuatia kujiuzulu kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai leo hii, kiti cha Spika kipo wazi. Je nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge letu?