Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hata hapa Ufipa unataka tuiombee ccm ife?
 
ccm bado wako na lile fisadi la mikataba mibovu na ufisadi?
Ama kweli ccm nitazidi kuamini kuwa ni ukoo wa panya
 
Hiyo kamati kuu wakimpitisha Tulia itadhihirisha ilivyo muhimu kupata katiba mpya.

Tulia ni batili kwa sababu haja jiuzulu unaibu spika. Hivyo hastahili kujadiliwa kwenye nafasi ya uspika.
Wakimpitisha Tulia watakuwa ni wehu
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Huwezi ukaombea taasisi. Wanaombewa watu......!!!
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hapo spika ni mtemi vijisenti, cheusi mangala atatulia kwenye u naibu mpaka 2025.
 
Nyoka mwenye makengeza aliyetumwa pesa na wapiga kura wake karudi siyo!!
 
Chenge ni fisadi. Unaiba 1.5 bilion ya serikali kwa mikataba ya hovyo wakati wa ununuzi wa Rada halafu unasema ni vijisenti?

Leo hii akikaa bungeni so ataiba 1 Trilioni , ataitaje hii sasa?

Chenge ametumika kipindi cha nyerere, mwinnyi, mkapa, na jk. Experience yake ni old school kwa sasa.

Taifa hili kwa sasa linahitaji speaker kijana wa umri wa kati na msomi ambaye ataendana na mabadiliko ya dunia/ global changes na kisha ku-relate na hali halisi ya nchi yetu in making decision katika bunge letu.

Huyo mzee na hiyo experience ya miaka 90's imepitwa na wakati. Watanzania tunataka kusonga mbele na kurudishwa nyuma na mauzoefu yaliyopitwa na wakati eti kisa masters ya havard ya mwaka 1975 wakati leo ni 2022 = miaka 48 imeshapita. Hii ni aibuu kubwa.

Chenge apumzike akalee wajukuu wake na vitukuuu
Sio kwamba anahitajika kiivyo bali yeye Chenge ni heri kuliko wengine.
Kwa hio huyo spika kijana anayeweza kulipeleka bunge kisasa ndie huyo tulia?
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Tulia ndio spika ajaye
1.Anatosha(kwa kigezo cha elimu)
2.Mwenzetu
3.Umri una wastani mzuri
4.Gender equality
5. Hajawahi kutuhumiwa popote
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Tumwombee Chenge, CCM na Tulia go to hell
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Zote takataka, wezi wa fedha Jersey na wezi wa kura Mbeya. Takataka tupu
 
Nina waswas na dr emmenuel nnchimb naona nafasi yake ya ubaloz imeshazibwa haraka
 
Back
Top Bottom