nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Kwenye uchawa jitahidi kutafakari pia...Mods, gonga ban hii mutu
Unaweza kujifungua albino take care 🐼Mimi natumia pilipili kichaa kavukavu
Wengi hawajui haya anafikiri wanyama ni mafalaaaaaa wale hatari wanaisoma mapema sanaWanyama ni sensitive kuliko unavyodhani, wao hutambua hatari in advance na hukimbilia miinukoni mapema
Wasichojua Seleous ni kubwa sana. Yaani anzia Morogoro, Ruvuma, Lindi nk.
Hatuna
mbuga ya selous
Very sadInasikitisha sana
😂😂😂 KahajiSijamfunga kamba, ntamfungulia wapi? Ulisahau sidiria zako na G-string
Nadhani tusiangalie binadamu tu, bwawa la Mwalimu Nyerere limejengwa katikati ya Mbuga ya Wanyama, haya mafuriko yanawaathiri kiasi gani?
Hii ni hifadhi ambayo iko katika orodha ya hifadhi zenye maliasili adhimu. Wizara ya maliasili, mnasemaje?
Pia hifadhi hii ina madini ya urani (uranium), kama nchi tuliangalia hili ili lisiingiliane na mradi kwa kuyachokonoa madini ya urani huko chini ya ardhi?
Katika wakandarasi wanaojenga mradi, nani amekabidhiwa kitengo ya kandarasi ya mazingira?
Bwawa limeishajengwa kwa aslimia kubwa na miradi ni km unaelekea kukamilika hivi mie nachoona wale watanzania ambao wamekumbwa na hili ni bora wakatafutiwa Maeneo ili wahamie maisha yaendeleeeNadhani tusiangalie binadamu tu, bwawa la Mwalimu Nyerere limejengwa katikati ya Mbuga ya Wanyama, haya mafuriko yanawaathiri kiasi gani?
Hii ni hifadhi ambayo iko katika orodha ya hifadhi zenye maliasili adhimu. Wizara ya maliasili, mnasemaje?
Pia hifadhi hii ina madini ya urani (uranium), kama nchi tuliangalia hili ili lisiingiliane na mradi kwa kuyachokonoa madini ya urani huko chini ya ardhi?
Katika wakandarasi wanaojenga mradi, nani amekabidhiwa kitengo ya kandarasi ya mazingira?
Utawajua tu waliolelewa kimangumashi!!!pumba.......!
Sio kila uzi ucomment unajitia aibu. Watu wana wasilisha mada serious we unaleta utani. Pumbavu kabisa. Nenda kule MMU maamuma wewe.Mkuu unatumia maembe mabichi ndimu au mbirimbi nikutumie maana shambani kwangu vimeshamiri sana!
Hizo ndio akili za mazombi mkuuYaani nchi ikose umeme kwa sababu ya kuwajali wanyama ambao wanaweza sogea mapori mengine...eboh!
Wewe na kundi nyuma Yako mnatakiwa kufungiwa jiwe la kusagia Kisha mtoswe Baharini!!Mods, gonga ban hii mutu
Uyu mange ana matus ata kama ni ublack america uyu ni noma hahahah