Nani anajua Taifa linapita nyakati gani kwa sasa?

Nani anajua Taifa linapita nyakati gani kwa sasa?

Ninaona mwenyekiti akipigwa shaba.
Wengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti

Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.

Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
 
Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.

Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.

Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
P nakukumbusha tu ilikuwa July..... 2021
 
Wengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti

Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.

Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
Huu ni mtazamo wangu kwa kutumia utabiri wa namba.

2022=2+0+2+2=6
Namba ya Shetani ni 666.Kwa hiyo huu ni mwaka wa Shetani

Naomba nikumbushe kwamba kazi za Shetani ni kuua,kuharibu na kuiba.So Shetani ataleta mauaji ya kutisha,uharibifu wa kutisha kwa wanadamu na Dunia na wanadamu watakuwa stripped all of their property na kubaki hawana kitu kabisa.

Hii ina maana gani,Dunia itapita kwenye matatizo makubwa ambayo binadamu hawajawahi kushuhudia.This year could be the end of humanity as we know it.
 
Basi nimeamini Mana Kuna mwaka mmoja nyuma Sana niliwahi kukaa na Mzee mmoja akanimbia mambo makubwa Sana kuhusu Tz kwamba Kuna kipindi nchi itakua GIZANI basi inavoelekea ndo kipindi hiki .Ni mambo ya kiroho after that time mwanga utatokea
 
Nimejaliwa uwezo wa ajabu sana.... Najiogopa

Hakuna Kitu utakachoandika Nikaacha Kukisoma....
Na wale wanaokubeza au Kejeli kwa namna yeyote kwa kutoka Nje ya Mada! Kuna Kitu huwa natamani niseme juu yao Na Maneno yao.
Huwa kuna Kitu/Vitu Nafaidi sana Toka kwako!
Na Nikiona Hujaposti nakosa Kitu!Yaani Ubongo unakosa Chakula Kaka!
 
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
Samia hoyeeeeee!!!....
 
Kwahiyo sio chai tena bali ni maji na majani, hivyo basi vitamwagwa ili kutengeneza chai nyingine
Wengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti

Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.

Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
 
Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti
No sio kiti kutamani kukaa kwenye kiti, bali kiukweli kiti kina raha yake ukikikalia, kwa vile kuna ule utaratibu wetu wa ndani, mtu akikaa, ni vipindi viwili viwili, hivyo ukisikia mipango yoyote ya awamu moja, au mpito, ni lazima upaniki!
Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha.
Baada ya Mwenyekiti kudondoka, na funguo ukapewa wewe, wewe sasa ndio Mwenyekiti na sio umemshikia kiti mdondoka!. Mwenyekiti ni wewe na gari sasa ni lako, rukhsa kuliatamia. Na sasa anakwenda kulifumua gari letu na kulisuka upya, wale wakabidhi funguo wote wenye mawazo ya kumpoka ufunguo 2025, wote wanapigwa chini!. Safari yetu ni mpaka kile kituo cha 2030!. Kituo cha 2025 ni kujaza tuu mafuta Safari iendelee!
Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.
Majani ya chai ni majani ya chai pale tuu yanapokuwa kwenye pakiti, yakiisha tiwa ndani ya chai, yanageuka chai, na yakiisha chujwa yanageuka machicha!.
Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
Tanzania ni Taifa la Mungu, mbona tuko nae saa zote?, au unataka alikumbuke zaidi na dereva huyu pia..., wee acha hizo.
P
 
No sio kiti kutamani kukaa kwenye kiti, bali kiukweli kiti kina raha yake ukikikalia, kwa vile kuna ule utaratibu wetu wa ndani, mtu akikaa, ni vipindi viwili viwili, hivyo ukisikia mipango yoyote ya awamu moja, au mpito, ni lazima upaniki!

Baada ya Mwenyekiti kudondoka, na funguo ukapewa wewe, wewe sasa ndio Mwenyekiti na sio umemshikia kiti mdondoka!. Mwenyekiti ni wewe na gari sasa ni lako, rukhsa kuliatamia. Na sasa anakwenda kulifumua gari letu na kulisuka upya, wale wakabidhi funguo wote wenye mawazo ya kumpoka ufunguo 2025, wote wanapigwa chini!. Safari yetu ni mpaka kile kituo cha 2030!. Kituo cha 2025 ni kujaza tuu mafuta Safari iendelee!

Majani ya chai ni majani ya chai pale tuu yanapokuwa kwenye pakiti, yakiisha tiwa ndani ya chai, yanageuka chai, na yakiisha chujwa yanageuka machicha!.

Tanzania ni Taifa la Mungu, mbona tuko nae saa zote?, au unataka alikumbuke zaidi na dereva huyu pia..., wee acha hizo.
P
Pasco bwana!!huwa nashangaa Sana uwezo wa ubongo wako!!Nimeamini kweli sio wenye hekima washibao chakula!!ulipaswa uwe juu zaidi!!sijui ni wapi hasa ulijikwaa?? ulijikwaa kwa nani???!!unaanguka na jamaa yako edo???!!we msukuma bwana umeshindwa hata kupaka mafuta yenye mafuta ya ngekewa na kasela???p uniniangusha Sana wewe!!!
 
Back
Top Bottom