Huyo jamaa hakunaga, alikuwa active sana miaka ya nyuma. Nowadays anakuja kwa nadra, anapenda kuleta mada za drugs kule siasa. Ni moja ya great thinkers Tanzania aisee. Naona espy anakaba mapema.Aiseeee...
Sijawahi muona na venye nazururaga jf yooote
Hahahakwan huwa wanapaka poudaa
Sent From Ikulu-Magogoni street
Mi mwenyewe ilitokea kama mara tatu nakutana na nondo zake, ikabidi nifukue nione zaidi.Aiseeee...
Sijawahi muona na venye nazururaga jf yooote
aya, baadae mamaHahaha
Mie sisemi
Ukimuona niite basiMi mwenyewe ilitokea kama mara tatu nakutana na nondo zake, ikabidi nifukue nione zaidi.
Daaaah...yes yupo namuoanaga!
Mimi sio mzuri walaaaa, ila sijamfikia "mzee". Mbiti lakini kesho tutaenda "kuhubiri injili" sio!!
Poa poaaya, baadae mama
Endeleza gurudumu
Sent From Ikulu-Magogoni street
And i already told you love... Ukiwa na hasira or anything.. Njoo uzimalizie kwangu... I will swallow all your anger and cool u down love...
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]