Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Huyo jamaa hakunaga, alikuwa active sana miaka ya nyuma. Nowadays anakuja kwa nadra, anapenda kuleta mada za drugs kule siasa. Ni moja ya great thinkers Tanzania aisee. Naona espy anakaba mapema.
Kweli eeehh... Itabidi nimtafute aisee...
 
Mimi sio mzuri walaaaa, ila sijamfikia "mzee". Mbiti lakini kesho tutaenda "kuhubiri injili" sio!!



hahahahahahah! art zako tu inaonekana ukikaa salon unakaa weeee mara hapa rekebisha mara punguza kias ndev eishhh! ukiwa kama KOVU(A) walah najilipua .hahahahahahahah (kiddng bwana) k.O.V.A kazid uchachu
 
Huuu uzi hakuna cha maana mnacho jadili tofauti na kutupiga majungu sisi ma HB..
Kama mnapenda sura ngumu mbona Gudume mnamkwepaa
 
Thanks Smart911 Wangu.. That's why I love you hunaga muda na mambo ya kiswazzz.. Thank you once again [emoji120] [emoji120] and I love you much more Smart911 wamimi
And i already told you love... Ukiwa na hasira or anything.. Njoo uzimalizie kwangu... I will swallow all your anger and cool u down love...
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173]
 
Unanipa furaha sana mahondaw wangu... Yote kwa sababu nakupenda...

Maisha siyo kutesa kila siku... Ila wewe mahondaw wangu ndiyo kila kitu...
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Sijui hata nisemeje Smart911 wangu... Nashukuru sana na nafurahi sana kujua hayo mfalme wangu..you're my everything Smart911 my pride.. Love you mingi mingiiiiii mimi
 
Back
Top Bottom