Kugawana na mwenzangu its okay. Huyu mleta uzi hapana aisee...mwache mwanaume apambane na hali yake. Umekata panga tena! 35!!?? Acha bana mkuu!Mzee baba thanks for the love, lkn wanaume are made to hustle, let's keep it real. Niliplan kutoa laki kwa bi'shosti Demi, naona kaleta maringo mwenzie Agata kaja kuovertake. So it's fair wote wanapata 50 - 50 lkn na wewe ukitaka kutelezea ganda la ndizi tunaweza pia kuigawa hiyo laki ikawa 35 - 35 [emoji23]
Demi hutaki tugawane Ontario kasema 35 kwa kila mtu mm Ww Na mbatilizaJibu basi maana zawadi anatoa kwa wanaompenda si muanzisha uzi
Demi hutaki tugawane Ontario kasema 35 kwa kila mtu mm Ww Na mbatiliza
Sent using Jamii Forums mobile app
ah wapi!umeona wanawake tulivyo na hisia zaid eh!sie hatuangalii avatar kama nyie!sie hata unavyocomment ni kipimo tosha kuwa unaweza ng'oa MZIGO!...mimi mwanaume anaeandika andika kila sku 'mashine,DUSHE,' mara aongelee kibamia things uwiii asinifate hata PM !Sitak hata salaam zao! wanachefua!
hamjuag tu...ukitaka umuwin mwanamke anzia mbaliiii! kadr mnavyoendelea kuchat unaona kbs kila mtu anamhitaj mwenzake! sasa ww endelea kutupigia mitarumbeta ya mwanaume MACHINE,DUSHE! utang'oa wa design yako
Mwanamke hatakiwi stori ndefu, hizo unawaachia walimu darasani.
Mmh..pambana na hali yako kidume.Demi hutaki tugawane Ontario kasema 35 kwa kila mtu mm Ww Na mbatiliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Naringa huku hujanipasi unaringa
Lemburula mtoe hapo anaharibu post.
Halaf utafit wako haujakamilika mkuu kuna sukari za warembo umewaacha hapo.
sa nakupea hapaNaringa huku hujanipa
Haha usinikumbushe last time ameniquote, nikasema huyu ntamjibu akili zikinijia vizuri, otherwise I'll end up embarrassing myself, ndo nakumbuka hapa kuwa sikumjibu hadi leo[emoji85] . That dude is smart khaaaUlichoongea kama kina ukweli kabisa aisee, kama huyo nilomtaja sio maarufu na inaonekana ni booonge la MWANAUME.
sa nakupea hapa