ah wapi!umeona wanawake tulivyo na hisia zaid eh!sie hatuangalii avatar kama nyie!sie hata unavyocomment ni kipimo tosha kuwa unaweza ng'oa MZIGO!...mimi mwanaume anaeandika andika kila sku 'mashine,DUSHE,' mara aongelee kibamia things uwiii asinifate hata PM !Sitak hata salaam zao! wanachefua!
hamjuag tu...ukitaka umuwin mwanamke anzia mbaliiii! kadr mnavyoendelea kuchat unaona kbs kila mtu anamhitaj mwenzake! sasa ww endelea kutupigia mitarumbeta ya mwanaume MACHINE,DUSHE! utang'oa wa design yako