[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ujue itabidi nikutafute na mimi uniambukize huo uchakaramu.
[emoji124] [emoji124]
So fine bro yesterday one guyWhats up jooh?
Mkuu anajua kucheza Na ratiba yake!Sasa utatuweka wapi maana tupo wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ohoooo unataka kuambukizwa uchakaramu eeh!
Ulichelewa kulala Mbiti, honestly nimewahi kupitia. Ila ni kwa sababu ya niliyekuwa nae.upo?umewah pitia maisha haya!
mfano mpo barabran mnakiss,mmekumbatiana viuno.kushow hw deep u r! ndo madogo hawa wnfny hvo humu
Mkuu unanijaribu sijaribiwi!!Jiangalie na lugha unayotumia usije jikuta unaanzisha vita usiyoiweza ikavuruga na hiki kithd chako, sawa Shangazi?
[emoji23] [emoji23] tafuta pesa hela fedha money!Duh... umenisahau vipi... ujue mi natafuta umaarufu afu siupati.....
Sent from "La -Vista"
Nilikuelewa mama.
Heaven Sent muandika essay mwenyewe alisurrender, alisema atamjibu baadae lakini hadi leo hajajibu. Hapana chezea my dear.Hahahah!, umenichekesha jamani eti ukaishia kumpongeza tu..[emoji28]
Ile namba nyingine asee, kichwa haswa!
Inabidi uwe umejipanga vizuri kama vile unaenda kwenye Interview kabla ya kujibu cos unaweza kupewa darasa la nguvu ukasahau hata ulicho comment, ukabaki unasema Yes Sir!
Wakati unatakiwa kuandika Essay...lol!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen!Hahaha!, Inabidi kushukuru Mungu tu kwa Uumbaji wake wa binadamu kama yule! [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkwe good morning![emoji3][emoji3]
aisee!!muachie basi aende church