Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Mim nampnda naughty gel axeee nahis angenfataaa inbobo ngefrah sana

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
 
Hayo maneno anakwambia mkiwa wapi mbitiyaza? Gudume hajawah kuwa mstaarab... Yeye ni mtu wa matukio tu,mikosi,bahati mbaya na majanga.


hahaha nataman kukufananisha na katuni ya baba ubaya!heheeh uliwah sema kwenye uzi wako 1 ww muungwana!
 
Mleta mada ana IDs mbili katika hayo majina. Anapima upepo halafu anakuja kujisupport yeye mwenyewe. Angekuwa serious asingeweza kumwacha mwanaume ambaye anagombewa humu JF gudume. Mwenye sound na story za kitaa,jibaba, pesa ipo na mikuno safi kabisa. Badala yake anajiweka yeye na kuji support.

Mimi sina maneno ni muendelezo ule ule wa chuki za shetani kwangu. Sisi wengine ni kama tuna damu ya kunguni. Wadau 8/8 naomba niwaalike kwangu nitachinja mbuzi nichome. So wale ambao wana nafasi tuwasiliane private nione tunafanyaje.
 
Unakosaje kumweka GuDume katika listi ya watu ambao ni mtama kwa watoto. Tena yeye ana uzoefu wa miaka mingi katika nyanja hii toka miaka ya 80s huko kwa mujibu wa stories zake.

Huyu jamaa si wa kukosa kwa watu wenye mvuto wa kimapenzi na wababe wa jamiiforums.yeye anasema anaweza tembea na familia yako nzima na kwa wanaume huwapiga na kisha kuwalipa.

Ila ni mnyonge na dhaifu kwa wadada warembo hujikuta tu analegea na kuishiwa nguvu. Umekuwa biased sana....



 
Huyu mzee wa majanga sana, visa na mikasa... Atakuwa sawa na baba ubaya kwa kweli... Jamaa wameamua kumbania. Mi nina ushahidi wa watu wanne wa jinsia ke wakiuliza huyu gudume anafananaje na ni sababu nlitania tu kuwa namfaham sana. Basi wadada wakanifuata wanataka waonane naye. Na nasikia si bahili pia kama mtu anashida.

Kiuhalisia nmemfahamia humu humu jf huwa sometime akili yake ikitulia anashuka madini sana na ni mtu wa watu.sema usimtibue. Ni kama saa mbovu....

hahaha nataman kukufananisha na katuni ya baba ubaya!heheeh uliwah sema kwenye uzi wako 1 ww muungwana!
 
Natumai Gudume waalikwa in reality ni ladies ingawa umeingia kwa gia ya anyone

Second unfortunately warembo ndio wame comment kuwa hawakuelewi Hasa hiyo sura !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gudume=komeo lachuma [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…