Huyu mzee wa majanga sana, visa na mikasa... Atakuwa sawa na baba ubaya kwa kweli... Jamaa wameamua kumbania. Mi nina ushahidi wa watu wanne wa jinsia ke wakiuliza huyu gudume anafananaje na ni sababu nlitania tu kuwa namfaham sana. Basi wadada wakanifuata wanataka waonane naye. Na nasikia si bahili pia kama mtu anashida.
Kiuhalisia nmemfahamia humu humu jf huwa sometime akili yake ikitulia anashuka madini sana na ni mtu wa watu.sema usimtibue. Ni kama saa mbovu....
Mkuu hao wanaolalamika sioni sababu ya wao kulalama maana wahusika wamekataa hata kuwaadd!!!Bwana mdogo unatakiwa ukapimwe mkojo mdogo....maana hii mada yako ni moja ya mada chonganishi.....inaweza kusababisha maafa....hasa kwa vijana ambao majina yao hayapo kwenye oorodha ya sukari ya walimbwende.....!!!
Unatakiwa ureport central kwa hiyari yako kabla dola haijatumia mkono wake dhidi yako....
Mkuu hao wanaolalamika sioni sababu ya wao kulalama maana wahusika wamekataa hata kuwaadd!!!
Cha msingi wamuone mshana Jr au mtimkavu wasafishe nyota!
Sent using Jamii Forums mobile app
User generated content hii mpwa, kila kitu kinaandikwa. Huu ndio ulimwengu wa dijitali, mashudu na pumba zote huchangamywa na nafaka.Wingi wa watoto unaifanya JF kuwa kama kindergarten........na mods wapo kwenye usingizi wa pono.....
Bwana mdogo unatakiwa ukapimwe mkojo mdogo....maana hii mada yako ni moja ya mada chonganishi.....inaweza kusababisha maafa....hasa kwa vijana ambao majina yao hayapo kwenye oorodha ya sukari ya walimbwende.....!!!
Unatakiwa ureport central kwa hiyari yako kabla dola haijatumia mkono wake dhidi yako....
User generated content hii mpwa, kila kitu kinaandikwa. Huu ndio ulimwengu wa dijitali, mashudu na pumba zote huchangamywa na nafaka.
huyu kaka pia huwa namgwaya! lol!upo serious kweli kweli! jus thnking tht KikulachoChako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kosa vyote omba nyotaWewe kwa kuwa ndio muanzishaji wa mada utawajibika kwa lolote litakalowatokea hao vijana.....
Maana juhudi wanazozifanya ni kubwa halafu haiwezi wasiwe kwenye list....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kosa vyote omba nyota
Wapambane tu na hali zao
Mjumbe hauwawi
Wabilah tawfique!
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua Sakayo hajui hivi vinywaji vyetu ye anataja tu anachokisikia... Smirnoff nakuachia wewe mama. Ilinitendaga kitu siwez isahau.. acha nipambane na Heineken na Glenfidich tuu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa umekuwa charming!!Sawa sawa bwana mdogo......
Ukipata wazo la wazee wanaopendwa na wajukuu zao unitaarifu.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Anayegombewa humu Jf teh teh zaidi naona mwagombana....Mleta mada ana IDs mbili katika hayo majina. Anapima upepo halafu anakuja kujisupport yeye mwenyewe. Angekuwa serious asingeweza kumwacha mwanaume ambaye anagombewa humu JF gudume. Mwenye sound na story za kitaa,jibaba, pesa ipo na mikuno safi kabisa. Badala yake anajiweka yeye na kuji support.
Mimi sina maneno ni muendelezo ule ule wa chuki za shetani kwangu. Sisi wengine ni kama tuna damu ya kunguni. Wadau 8/8 naomba niwaalike kwangu nitachinja mbuzi nichome. So wale ambao wana nafasi tuwasiliane private nione tunafanyaje.
i agree [emoji23] [emoji23]
Mpwa, hii ni special kwa vijana wanaotafuta kupendana. Sisi tulikokwisha meza chumvi ya kutosha haituhusu kabisa.Kweli mpwa nimeelewa.....kuna muda natakiwa kurelax kwa kutembelea nguzo kama hizi.....
Vipi mpwa na wewe umebahatika kuwa kwenye list....!!?
Au wewe si miongoni mwa wale wapendwa....!!?
Am sorry hebu nisaidie mtupie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Anayegombewa humu Jf teh teh zaidi naona mwagombana....
muosha rungu mbona haujamuweka Mshana jr kwa list
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mpwa, hii ni special kwa vijana wanaotafuta kupendana. Sisi tulikokwisha meza chumvi ya kutosha haituhusu kabisa.