Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo la sekondari hilooNicheke mie nisogeze siku..
Mangi kaenda kumshangaa anko Magu bado hajarudiAgiza mpenzi.. zinaweza zikafaa baadae maana weekend ndo kwanzaaaaaaaa imeanza
LolMhh! Huu nao uchochezi Sasa.. Mnahatarisha familia za watu Sasa.
Mpenda ubuyu type 2 nakuonaKo niagize sioo
AiseeeeMpenda ubuyu type 2 nakuona
nakuona!
Agiza tu uchangamshe mdogo mbaya . Si kwa habari hizi za loooooongi za mke mwenza kha khaa khaa Nacheka kwa dharaaaaaaau lol!!!
Mengine Wacha nifunge domo langu mie. Sakayo I'm out Wacha niende swimming kidogo sitaki kesi mie mimi mtoto mzuri wa Smart911 nisiejua kugombana mwenzio.
Mahondaw wa Smart911
Nyani Ngabu unaitwa huku eti ushazimikiwa na wangapi humu
View attachment 558015
Oh yeah?
Mimi si tu nazimikiwa....pia nipo influential kwa wengi tu humu.
Mfano...nilipokuja na USA baby....watu wakaiga. Ikawa kila kitu 'baby'.
Nikaja na 'your opinion of me is not my reality'....nayo ikaigwa 😀
Hata 'saying it so doesn't make it so' nayo imeigwa.
So I'm 'da man' girlfriend......often imitated but never duplicated.
USA baby.....haya chagua begi la mgongoni hapo.
View attachment 558015
hahahahaha...... umenikumbusha ileya ; Mange Kasema, Mimi ni nani mpaka nibishe? ;Oh yeah?
Mimi si tu nazimikiwa....pia nipo influential kwa wengi tu humu.
Mfano...nilipokuja na USA baby....watu wakaiga. Ikawa kila kitu 'baby'.
Nikaja na 'your opinion of me is not my reality'....nayo ikaigwa 😀
Hata 'saying it so doesn't make it so' nayo imeigwa.
So I'm 'da man' girlfriend......often imitated but never duplicated.
USA baby.....haya chagua begi la mgongoni hapo.
View attachment 558015
na ulivyokuja na Miafrika ndivyo tulivyo tulikuzimikia
hahahahaha...... umenikumbusha ileya ; Mange Kasema, Mimi ni nani mpaka nibishe? ;
Kama kuna watu wamesha kukaza humu basi usimtaje huyo Jamaa.Watu watapanic.
love thé love or hâte thé love.....
Hata wale kina fidodido simu hizi wamepumzika kukufatilia eeOh yeah?
Mimi si tu nazimikiwa....pia nipo influential kwa wengi tu humu.
Mfano...nilipokuja na USA baby....watu wakaiga. Ikawa kila kitu 'baby'.
Nikaja na 'your opinion of me is not my reality'....nayo ikaigwa 😀
Hata 'saying it so doesn't make it so' nayo imeigwa.
So I'm 'da man' girlfriend......often imitated but never duplicated.
USA baby.....haya chagua begi la mgongoni hapo.
View attachment 558015
Heheh...sasa si naona hapo unataka unifanye kidumu eenh
Wanashobokewa au unawashobokea?
Wanashobokewa na nani??
Kwa kifupi sijaona labda useme umekuja na lifekero lako ujifungulie Uzi ujiweke kwenye list.
Mwanaume michango ya maana bana, na siyo idadi ya wadada anao chitchat nao [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Kwenye hiyo list..
Nyani Ngabu
le mutuz
The bold
ONTARIO
Ongeza
The Boss
mshana jr
Mzizi mkavu
Na wengineo wenye michango inayoeleweka,
Sasa baada ya kuweka list yangu nasema hiviii..nawashobokea kwa sababu wana michango ya maana inayojenga.
Uki mind njoo Nipige nipo nyumbani.