Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Ingawa wanasema uzuri Upo kwa anayeona(beautiful is on the eye of the beholder)

Pia ingawa wanawake ni wagumu sana kueleza hisia zao kwa mwanaume wanayempenda at the first time ila hubaki Na ukweli huo moyoni Na aghalabu hujaribu kuzieleza au kufikisha hisia hizo kwa
Lugha ya mwili(body language)

Jf wanawake Na wasichana hawajawahi kuwashuhudia muonekano Wa men wengi Wa jf
Ila wakati mwingine hushawishika
Kukubali miadi Na hatimaye kuonana ana kwa ana au hata kutikisana nyavu!

Mwanamke huyu je anakuwa amevutiwa Na mwandiko au intelligence ya mwanaume?

Isitoshe wapo wanawake jf ambao hukili wazi kuwa kuna mwanaume anampenda humu ila anahofia kumuanika

Tangu nimekuwa member hapa kwa ka research kadogo(uchunguzi)
Nimebaini mwanaume wafuatao wanashobokewa sana humu
Samahani nitakao wataja bila idhini yenu ashakumu si matusi
Daby,smart 911
Nyani ngabu
Le mutuz
Saint ivuga
B40
The bold
Ontario
Wakina dada fungukeni mnawapendea nini hawa jamaa maana unaweza kukuta ni wapiga debe tu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijasahaulika kweli?!'!?? Amaa?
 
Kwahiyo ndio hautoi maelezo?

Umeona eeeeh! Nilimquote nikajikuta kila ninachoandika nafuta, mwisho nikaishia kumpongeza tu.


Hahahah!, umenichekesha jamani eti ukaishia kumpongeza tu..[emoji28]
Ile namba nyingine asee, kichwa haswa!
Inabidi uwe umejipanga vizuri kama vile unaenda kwenye Interview kabla ya kujibu cos unaweza kupewa darasa la nguvu ukasahau hata ulicho comment, ukabaki unasema Yes Sir!
Wakati unatakiwa kuandika Essay...lol!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hakuna foleni Sakayo, uchakaramu wa BAK tu ndiyo unafanya uamini hivyo. Ila namshukuru Mungu kusema kweli kwamba maandishi yangu humu yamefanya baadhi wavutiwe nayo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ujue itabidi nikutafute na mimi uniambukize huo uchakaramu.

[emoji124] [emoji124]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom