Nani anamdanganya Rais Samia kuwa kati ya Watanzania mil 65, ni milioni 2 tu wanaolipa kodi?

Nani anamdanganya Rais Samia kuwa kati ya Watanzania mil 65, ni milioni 2 tu wanaolipa kodi?

1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Labda angetaja kodi ipi yenye walipaji 2M
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Kama huna TIN ya Mapato wewe sio mlipakodi haijalishi unanunua bidhaa/Huduma au laa
 
Yeye anakatwa PAYE? Aoneshe njia kama alivyojitokeza kuchanja UVIKO!
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Sasa usipoweza kumdanganya huyo unatarajia kuja kumdanganya nani mwingine?
 
Hakuna hoja umeweka hapa so far Zaid ya ujinga ujinga tu , weka hoja angalau ya maana

USSR
Haya chukua hiyo hoja ya maana ...p diddy anakutaka chumbani kwake ukacheki movie
 
Maza hatakiwi kuongea tuna rais wa ajabu kuwahi kutokea nchi hii
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Kuna watu wanamfanyia makusudi huyu mama..
 
Direct tax inatokana na biashara au mshahara. Umenunua maembe Tsh 1000, umeuza 1,200. Ile kodi inayolipwa kutoka faida ya Tsh 200. Umefanya kazi umelipwa mshahara ile PAYE ni direct tax.
Are you sure?

Nimetoa mshahara wangu nimeagiza gari Japan kwa matumizi ya binafsi tu kuendea church na job, nalipa nini pale TRA, direct au indirect?

Ni biashara hiyo nakuwa nimefanya?
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Wewe ndio mkuruohkaji na huelewi.

Kama huna TIN jua hulipi Kodi.

Na wengi ambao hawalipi Kodi wako huku kweyingormal sector 👇👇

View: https://x.com/MfanyakaziNews/status/1842198741995974662?t=QbPn2cysgRp84K8Ou3D7gw&s=19
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Soma hapa Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu
 
Watanzania wengi ambao hawampendi Samia hata akiongea point ni vigumu kukubali.

Na yeye anaharibu zaidi kwa sababu mara nyingi hata akiwa na point nzuri anaiwakilisha vibaya.

Ukweli ni kwamba tax base ya Tanzania, effectively, ni ndogo sana. This is a fact, independent of all politics.
Lakini Serikali inahusika pakubwa kusababisha taxbase kuwa chini sababu,

1. Urasimu na uzembe na kutojali wa watumishi husika katika nafasi za kusajili kampuni za ndani,

2. Kutojishughulisha kutafiti nini chanzo Cha biashara ndogo zinazosajiliwa TRA kufa zikiwa Bado chini.

3. Watumishi wa TRA kutojali maslah ya nchi na kutanguliza maslah binafsi.

4. Mifumo mibaya ya ukusanya Kodi isiyoendana na Hali halisi ya Uchumi wa TANZANIA na Africa, copy and paste.

5. Viongozi wakuu wa Serikali kutolipa Kodi ukianzia Rais na Wabunge.
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Wacha upoyoyo, kuna kodi na kuna tozo.

Anayoiongelea Rais mama Samia ni kodi, unayoiongele wewe ni tozo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kama huna TIN ya Mapato wewe sio mlipakodi haijalishi unanunua bidhaa/Huduma au laa
Siyo kweli

TIN ni kwa wale registered

Kuna Kundi kubwa wanalipa Indirect tax na withholding tax bila kulazimika kisheria kuwa na TIN

Hao wote ni Walipakodi

Kutokuwa na passport haimaanishi wewe siyo raia kwa hapa bongo 😂😂😂😂
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Wamempa number ya large tax payer,
Nae amepokea bila kuhoji!
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Tuna rais kila*zà kweli
 
Are you sure?

Nimetoa mshahara wangu nimeagiza gari Japan kwa matumizi ya binafsi tu kuendea church na job, nalipa nini pale TRA, direct au indirect?

Ni biashara hiyo nakuwa nimefanya?
Mkuu, kodi anayoongelea raisi ni kodi ya moja kwa moja itokanayo na shughuli zinazozalisha mapato.

Umefanya kazi au biashara ukapata ujira au faida kisha ule ujira au faida ukakatwa kodi. Sio hizi kodi za manunuzi.

HIZI KODI ZA MANUNUZI IKIWEMO HIZO ZA KUAGIZA MAGARI ZINAPASWA ZIWE CHINI SANA ILA SASA UNAZISHUSHA VIPI NA WATU WANAOKATWA KODI KWA KUZALISHA VIPATO NI WACHACHE? ANACHOSEMA RAISI NI WATU WANAOLIPA KODI ZINAZOTAKANA NA MAPATO YAANI FAIDA AU BIASHARA WAONGEZEKE KWANI KWA SASA NI WACHACHE.

HUELEWI NINI HAPO BOSS?
 
Lakini Serikali inahusika pakubwa kusababisha taxbase kuwa chini sababu,

1. Urasimu na uzembe na kutojali wa watumishi husika katika nafasi za kusajili kampuni za ndani,

2. Kutojishughulisha kutafiti nini chanzo Cha biashara ndogo zinazosajiliwa TRA kufa zikiwa Bado chini.

3. Watumishi wa TRA kutojali maslah ya nchi na kutanguliza maslah binafsi.

4. Mifumo mibaya ya ukusanya Kodi isiyoendana na Hali halisi ya Uchumi wa TANZANIA na Africa, copy and paste.

5. Viongozi wakuu wa Serikali kutolipa Kodi ukianzia Rais na Wabunge.
Kiujumla Watanzania wanapenda kuishi kwa mazoea na hawana ubunifu, wananchi na viongozi wa serikali,

Wananchi wangekuwa na ubunifu wangewatoa hao viongozi.
 
Siyo kweli

TIN ni kwa wale registered

Kuna Kundi kubwa wanalipa Indirect tax na withholding tax bila kulazimika kisheria kuwa na TIN

Hao wote ni Walipakodi

Kutokuwa na passport haimaanishi wewe siyo raia kwa hapa bongo 😂😂😂😂
Ndio huwezi hesabika mlipakodi.kwa sababu uko kwenye informa sector ambako hakutabiriki.

Mzee kajisajili, unadhani TRA ni wajinga waliposema Kila mwenye umri wa miaka 18 awe na TIN? Lengo ni kuwa track nyie mlioko kwenye informal sekta mnapata Mapato na hamlipi Kodi mfano watu wanauza mifugo minadani kama individuals lakini hawalipi Kodi zaidi ya viushuru vya Halmashauri
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom