fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Swali la msingi sana. Tunakatwa kodi kwenye kila huduma tunayofanya, tunalipa kodi za maeneo tunayoishi( Majengo), Tunalipa kodi kwenye usafiri, tunalipa kodi kwenye mishahara yetu (PAYE) tunalipa kodi kadha wa kadhaa...... jumlisha idadi ya watanzania na leo tunaambiwa eti only 2mill Tanzanians ndio wanaolila kodi lolKwahiyo kodi tunazotoa zaenda wapi
Hapo sijataja kodi wanazokutana nazo wafanyabiashara + makampuni nchini.