Anajihumu Yeye mwenyewe. Maana Hana uwezo wa kutofautisha magugu na mimea.Habari ya jumapili ndg zangu!!!!! Nimeuliza swali hili Kwa makusudi Ili kujua ni nani anayemhujuma mama yetu kipenzi??? Aliyeleta furaha Leo anataka atuharibie.
Je ni baadhi ya wanaccm ambao wenye uroho wa madaraka????ambao wamejificha nyuma ya wapinzani??.
Au washauri ktk ofisi yake???
Au Baraza la mawaziri na karibu wakuu wa wizara?
Kwani magugu siyo mimea?😄😄Anajihumu Yeye mwenyewe. Maana Hana uwezo wa kutofautisha magugu na mimea.
Anayemhujumu atakuwa mtu wake wa karibu na anayeutamani sana Urais anayehisi 2030 ni mbali sana tena ni zamu ya Wagalatia!Uliwekwa uzi humu wa wanaomsaliti cha ajabu JF wakauondoa haraka..
Imetajwa Hadi mipango Yao ya kuhujumu Bwawa la Nyerere...na sgr
Kuna mdau humu kataja kabisa wanaomsaliti na mipango YaoAnayemhujumu atakuwa mtu wake wa karibu na anayeutamani sana Urais anayehisi 2030 ni mbali sana tena ni zamu ya Wagalatia!
Yuda Iskarioti hatokagi mbali ref Nyepesi na Mkumbo wakiwa Ufipa st
1. Kule kwenye pesaHabari ya jumapili ndg zangu!
Nimeuliza swali hili Kwa makusudi Ili kujua ni nani anayemhujuma mama yetu kipenzi? Aliyeleta furaha Leo anataka atuharibie.
Je ni baadhi ya wanaccm ambao wenye uroho wa madaraka? Ambao wamejificha nyuma ya wapinzani?
Au washauri ktk ofisi yake?
Au Baraza la mawaziri na karibu wakuu wa wizara?
Habari ya jumapili ndg zangu!
Nimeuliza swali hili Kwa makusudi Ili kujua ni nani anayemhujuma mama yetu kipenzi? Aliyeleta furaha Leo anataka atuharibie.
Je ni baadhi ya wanaccm ambao wenye uroho wa madaraka? Ambao wamejificha nyuma ya wapinzani?
Au washauri ktk ofisi yake?
Au Baraza la mawaziri na karibu wakuu wa wizara?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Moyo wa mtu ni kiza kinene hujui amebeba mangapi kwa roho yako
Ukimuitwa mama yeye anakuona mubantu
Kina mama huthamini zaidi kwa wajomba
Hao ni vidagaa tu. Rudi nyumbani kumenoga.1. Kule kwenye pesa
2. Kule kwenye madini
3. Kule kwenye umeme
4. Kule wilaya ya chalinze
5. Yule muuza meno ya tembo
6. Kule pangani kwenye maji
7. Mr wake
Mama uwezo na upeo wake mdogo ndio unamuhujumu..kuna wakati anaongea kama kuwatisha wanaume au kushindana nao wasimuone ye mwanamke..Wale tuliowahi kusoma Bible Knowledge mnajua kisa cha Shetani kutupwa Duniani ni tamaa yake ya kutaka kuchukua nafasi ya Mungu mwenyezi.
Ukisoma historia ya Kielimu ya Mhe. Rais utagundua ana uwelewa wa mambo ya Manunuzi/Mipango na Records Management kwa uchache. Vivyo hivyo hakuna Rais atakayekuwa anajua vitu vyote mtambuka bila kuwategemea Wasaidizi. Ndiyo maana Rais anawashauri wabobezi kwenye kila taaluma.
Kifupi, Mama anahujumiwa na Wasaidizi wake ambao wanataka kiti chake, asipoangalia 2025 fomu zitaprintiwa zaidi ya moja.
Huu nao ni uzi? Hujuma iko wapi. Km huna cha kuandika au km huwezi kuwasilisha wazo bora ukae kimyaHabari ya jumapili ndg zangu!
Nimeuliza swali hili Kwa makusudi Ili kujua ni nani anayemhujuma mama yetu kipenzi? Aliyeleta furaha Leo anataka atuharibie.
Je ni baadhi ya wanaccm ambao wenye uroho wa madaraka? Ambao wamejificha nyuma ya wapinzani?
Au washauri ktk ofisi yake?
Au Baraza la mawaziri na karibu wakuu wa wizara?