lukala
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 594
- 590
Habari ya jumapili ndg zangu!
Nimeuliza swali hili Kwa makusudi Ili kujua ni nani anayemhujuma mama yetu kipenzi? Aliyeleta furaha Leo anataka atuharibie.
Je ni baadhi ya wanaccm ambao wenye uroho wa madaraka? Ambao wamejificha nyuma ya wapinzani?
Au washauri ktk ofisi yake?
Au Baraza la mawaziri na karibu wakuu wa wizara?
Nimeuliza swali hili Kwa makusudi Ili kujua ni nani anayemhujuma mama yetu kipenzi? Aliyeleta furaha Leo anataka atuharibie.
Je ni baadhi ya wanaccm ambao wenye uroho wa madaraka? Ambao wamejificha nyuma ya wapinzani?
Au washauri ktk ofisi yake?
Au Baraza la mawaziri na karibu wakuu wa wizara?