Nani anamlinda Zitto Kabwe? Kwanini hakamatwi na kushitakiwa pamoja na kueneza uongo na uchochezi?

Nani anamlinda Zitto Kabwe? Kwanini hakamatwi na kushitakiwa pamoja na kueneza uongo na uchochezi?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.

Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.

Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.

Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.

Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
 
Analipwa kuhakikisha anazima Legacy ya JPM na kwakuwa yeye mwenyewe ni Mdini sana kuliko unavyodhani anatetea kile anachoamini.
 
Enzi ya Jk akiwa rais alisahau kwenda jimboni kwa Zitto kabwe Kigoma Kaskazini kwenda kufanya kampeni
 
Ukipata jibu la nani alikua anamlinda Cyprian Musiba bas utapata jibu la nani anamlinda Mzee wa migebuka!!
 
Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.

Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.

Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.

Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.

Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
Ukiona thread za wabongo kama kazaliwa juzi. Huyu zitto awamu ya 5 kaswekwa Rumande Mara ngapi?

-2021 alikua ndani Morogoro

-2018 hapo alikuwa mahabusu Oysterbay/Mburahati
 
Tuacheni chuki na uislam, mtoa mada kauliza vitu vingi tu ila karibia 90% ya comments za wana jf zimeenda kwenye udini dhidi ya uislam eti kisa kusema serikali iliua viongozi wa Dini ya kiislam. Tuhuma zoote zimeelezewa kwenye mada moja tu Ndo inashambuliwa. Great thinker ya 2023 Aibu sana wana
 
Kama hayo aliyoyazungumza Mh.Zito ni ya uongo, wewe mtoa hoja lete hapa ukweli, why middle class wanapenda sana watanzania wenzao wawe jela?,wewe mtoa hoja hii Mr. Zitto akikamatwa kwa tuhuma hizi wewe utanufaika nini?,mtu akamatwe kwa tuhuma sahihi na nimemshangaa Adv.Mayala naye kaaunga mkono hoja wakati unajua ni makosa kumkamata suspect bila kuwa linked na crime scene, waumini walipigwa risasi za moto pale mwembechai masjid ,binafsi sijasahau na why police watumie live bullets kwenye civilian protest?,halafu tunatungiwa vitabu na mazuzu kimyaa
 
Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.

Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.

Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.

Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.

Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
Japo simkubali Zitto lakini maswali yako yalipaswa kuwa tofauti:
-Nani anawalinda waliochoma shamba lake la korosho na nyumba yake wakati wa utawala wa Jiwe?
-Nani anawalinda waliotuingiza mkenge wa kununua ndege mbovu?
-Kwanini serikali haifanyii uchunguzi wa madai yake ya kutaka kuuawa?(ikumbukwe kuna watu walilalamika na wakapuuzwa matokeo yake wakashambuliwa hadharani mchana kweupe na wengine wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo).
-Kwanini polisi wa Lindi wasitoe tamko(either kukanusha au kukubali na kutoa sababu au kumuamuru apeleke ushahidi/vielelezo polisi kuwasaidia katika kulichunguza sakata hilo)

Usitoe conclusion kana kwamba una uhakika na ushahidi kuwa aliyoyasema Zitto ni uongo na uzushi.
 
Kama hayo aliyoyazungumza Mh.Zito ni ya uongo, wewe mtoa hoja lete hapa ukweli, why middle class wanapenda sana watanzania wenzao wawe jela?,wewe mtoa hoja hii Mr. Zitto akikamatwa kwa tuhuma hizi wewe utanufaika nini?,mtu akamatwe kwa tuhuma sahihi na nimemshangaa Adv.Mayala naye kaaunga mkono hoja wakati unajua ni makosa kumkamata suspect bila kuwa linked na crime scene, waumini walipigwa risasi za moto pale mwembechai masjid ,binafsi sijasahau na why police watumie live bullets kwenye civilian protest?,halafu tunatungiwa vitabu na mazuzu kimyaa
Kwa hiyo umejiona una akili? Unataka kusema alichomewa nyumba? Unataka kusema waliingia msikitini na kuua watu bakwata ikae kimya? Hapa Zitto ni suspect ? Wakati zipo clip akiongea haya mauchochezi?
 
Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.

Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.

Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.

Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.

Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
Kama aliyosema yana mashiko, akamatwe na kushitakiwa kwa lipi?
 
Wewe toka lini ulishawahi kuona Zitto analala ndani,wewe muone hivyohivyo Zito ni Mzito ndiyo maana haeleweki.
 
Kwa hiyo umejiona una akili? Unataka kusema alichomewa nyumba? Unataka kusema waliingia msikitini na kuua watu bakwata ikae kimya? Hapa Zitto ni suspect ? Wakati zipo clip akiongea haya mauchochezi?
Hao Bakwata uliowataja enzi ya jiwe alikuwa kila anapokutana nao anawajaza mapesa wangepata wapi uthubutu wa kuinua midomo yao kumsema mfadhili wao!
 
Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.

Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.

Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.

Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.

Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
Huo uchochezi na kwa mtazamo ni miongoni mwa mnaokasirika kwanini watu wanafursa ya kutoa ya moyoni,kwani aliyecharazwa masasi, 😂 mhalifu wake alishatiwa korokoroni🤔
 
Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.

Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.

Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.

Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.

Hakamatwi wala hachyukuliwi hatua. Nani anamlinda?
Kwani anachokisema ni uongo?
 
Tuacheni chuki na uislam, mtoa mada kauliza vitu vingi tu ila karibia 90% ya comments za wana jf zimeenda kwenye udini dhidi ya uislam eti kisa kusema serikali iliua viongozi wa Dini ya kiislam. Tuhuma zoote zimeelezewa kwenye mada moja tu Ndo inashambuliwa. Great thinker ya 2023 Aibu sana wana
Huo ndiyo ukweli wenyewe ..angalia maneno ya speaker ndugai na maneno ya bashiru ally kisha tazama
 
Kwa hiyo umejiona una akili? Unataka kusema alichomewa nyumba? Unataka kusema waliingia msikitini na kuua watu bakwata ikae kimya? Hapa Zitto ni suspect ? Wakati zipo clip akiongea haya mauchochezi?
Bado haijawa uchochezi if you can't prove kwamba aliyoyasema hayana ukweli, BAKWATA wanajulikana wako kwa maslahi ya CCM hivyo kama tukio lilikuwa na 'mkono' wa serikali hawawezi kusema lolote.
Kwa kuwa unasema clips zipo na kama serikali haikanushi kuhusika basi lipo wanalolificha, kwa serikali ile iliyokuwa na kikosi maalum cha 'wasiojulikana' ujue ya kwamba regime ile dhalimu ilikuwa na uwezo wa kufanya uharamia wa aina yoyote pasina kujali ni wangapi watadhurika, watateseka, watatiwa ulemavu au watakufa.
Zitto haaminiki lakini serikali ile ndiyo ilikuwa haiaminiki zaidi, prove him wrong la sivyo kutakuwa na ukweli fulani katika aliyoyasema.
 
Back
Top Bottom