Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Zitto ni "malaya wa kisiasa"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wale walioua waumini pale mwembechai masjid unawaogopa nhe,kama una ushahidi wa to link Mr Zito kwa matamshi hayo nenda police na fungua docket, sio kulalama humuKwa hiyo umejiona una akili? Unataka kusema alichomewa nyumba? Unataka kusema waliingia msikitini na kuua watu bakwata ikae kimya? Hapa Zitto ni suspect ? Wakati zipo clip akiongea haya mauchochezi?
Mamlaka iliyoko kwenye kiti haijali chochote kinachosemwa kina athari gani kwa mustakabali wa nchiAliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.
Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.
Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.
Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.
Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.
Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.
Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.
Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.
Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
Thread closedJapo simkubali Zitto lakini maswali yako yalipaswa kuwa tofauti:
-Nani anawalinda waliochoma shamba lake la korosho na nyumba yake wakati wa utawala wa Jiwe?
-Nani anawalinda waliotuingiza mkenge wa kununua ndege mbovu?
-Kwanini serikali haifanyii uchunguzi wa madai yake ya kutaka kuuawa?(ikumbukwe kuna watu walilalamika na wakapuuzwa matokeo yake wakashambuliwa hadharani mchana kweupe na wengine wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo).
-Kwanini polisi wa Lindi wasitoe tamko(either kukanusha au kukubali na kutoa sababu au kumuamuru apeleke ushahidi/vielelezo polisi kuwasaidia katika kulichunguza sakata hilo)
Usitoe conclusion kana kwamba una uhakika na ushahidi kuwa aliyoyasema Zitto ni uongo na uzushi.
Unawajua watu wa Kigoma vizuri wewe? Waha?Aliwahi kutamka hadharani kuwa shamba lake la korosho na nyumba yake vilichomwa na serikali chini ya hayati JPM.
Aliwahi kusema kuwa serikali imenunua ndege Mbovu na moja tu ndio inafanya kazi.
Aliwahi kusema kuwa serikali ina njama za kumuua.
Juzi katamka wazi kuwa serikali iliua viongozi wa dini msikitini huko Lindi.
Hakamatwi wala hachukuliwi hatua. Nani anamlinda?
HapanaUnawajua watu wa Kigoma vizuri wewe? Waha?
AiseeZitto Kabwe, Tulia Akson, James Mbatia kozi moja hapo Mbweni.