Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Halafu serikali ipo inamwangalia mtu kama huyu? Siku akiua watu ndiyo wanashtuka! Huyu ni mgonjwa wa akili na mahojiano yake na Millard Ayo wakati alipokwenda mbinguni ni uthibitisho tosha!

View attachment 2680258
Hapa ndio tunapokutana na mstari huu

Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa,Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa ,Mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi,Kwa kuwa umeacha kujali sheria ya Mungu wako Mimi nami sitawajali watoto wako.

Where are their parents jamani?
 
What is knowledge?
 
Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.

Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma

Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?

Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Huyu ni mhuni tu,nilishawahi kumsikiliza nikaona nae kakamata fursa tu .Motivational speaker huyu.Hana utumishi wowote.Kaamua kujiajiri kupitia dini.
 
Eubert Angel,tapeli wa Zimbabwe na yule mwenzake Bushiri.
 
Huwezi kuamini simjui huyo apostle anayeongelewa hapa....niambie tu kama ndio yeye nisiharibu bundle langu la you tube
Huyu ndiye kapola, je anafanana na hiyo picha ya yule mjuba?
 

Attachments

  • Screenshot_20230706-194213.png
    136.1 KB · Views: 24
Mungu hadhihakiwi,muache aruke aruke siku Mungu akimuacha hata sekunde hiyo aibu yake atajuta.
 
Zaburi 105:15
Don't harm my chosen servants; do not touch my prophets."

Sasa ni hivi, that is a command. Refer kitabu cha hesabu 12

Aroun na miriam wakiwa wanamuongea vibaya Musa.

So be careful ukiwa unaongea vibaya dhidi ya watumishi wa Mungu
Yaani huu mstari ndo huwa wanautumia matapeli ili ,muaamini kila wanachosema na muendelee kutoa sadaka .
 
Matapeli wa injili hutumia sana vitisho

Míriam kupewa ukoma ile ilikuwa ni mision ya Mungu kumlinda Musa, najua hao matapeli hawalijui hilo kwa kuwa wao huwaza sadaka tu na ngono.
Yaani huu mstari ndo huwa wanautumia matapeli ili ,muaamini kila wanachosema na muendelee kutoa sadaka .
 
Nimecheka sana fuata ufuatavyo na daima ukishindwa kutambua achana na mambo ya watu
 
Ku
Kumbe unamjua vizuri?mbona kutuuliza sie tena?unatuchimba sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…