Weka pichaNani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Sipendi kabisa ligi na poor brain kama wewe,...Sikiliza we subiri kofia na t-shirt za CCM ukabishane majukwaani.Ulisomea wapi kupima uwezo wangu? Ungekuwa una akili usingeleta ukosoaji wako wa kipuuzi kwa jambo ambalo halihitaji ubishi. Kwa mfano nikikuona wewe Joanah umechoka nikakuuliza ukanipa sababu zako haitakiwi nikuamini? Hizo akili zako kawashauri serikali na wapinzani kuhusu bandari wasiendelee kulumbana.
Sawa Madam Rich Brain.Sipendi kabisa ligi na poor brain kama wewe,...Sikiliza we subiri kofia na t-shirt za CCM ukabishane majukwaani.
Nipishe mie
Exactly nimeliongelea hili Ila naona watu wananiambia nifuate neno lake mavazi hayanihusu.Ni kijana mpya katika huduma ya uinjilishaji, ila amekosa adabu na nidhamu katika kuvaa yeye na waumini wake wamekosa hekima ya kujisitiri ili kulinda ushuhuda wao
Unamtetea kwa kigezo kipi mkuu.Hapana siamini katika hili mchunga kondoo hawezi kuwa hivyo matapeli tu hao sawa na dalali. Ila ukitaka mpata mhasibu, hata mwanafunzi primary wampata na mafunzo maalumu ndo maana mtoto darasa kwanza na chekechea hawafananani ila kwenye dini ambayo ni jambo kubwa watu twalinganisha kupitia idadi ya followers nadhani tuanzie hapo
Watu.wachache watakuelewa kakaNi mambo ya aibu mkuu hata kuyaelezea. Ni mambo ambayo kama ndiyo binti yako ametendewa unaweza ukachukua bunduki na kwenda kummiminia risasi za kichwa mhusika mpaka magazine yote iishe!
Ila misukule yake huiambii kitu. Sijui wana nguvu gani hawa jamaa aisee. Yaani ukiingia kwenye anga zao akili zote na lojiki vinakaa pembeni hata uwe una Ph.D.
Fikiria hawa "waliouliwa" na Mackenzie wa Kenya. Wengine ni wasomi kabisa lakini waliaminishwa kufunga mpaka kufa ili wakaonane na Bwana. Unajua njaa inavyouma? Ndiyo huli kwa makusudi tu mpaka internal organs zinaanza ku-shut down one by one lakini umekomaa tu. Imagine waliookolewa bado walikuwa wanakataa kula ili waumalize mwendo waende kwa Yesu.
Waogope sana hawa watu...na siku ukibahatika kuchomoka ndiyo unajiona jinsi ulivyokuwa mjinga wakati wenyewe walishahamia kusaka victims wengine.
Sema uzuri wengi wa watumishi wa aina hii mwisho wao huwa siyo mzuri pia maana Mungu naye huwa hadhihakiwi. Hushughulika nao hatimaye!
Unaongea upumbavuEti " kwanini hahubiri mavazi"?....
Na we hapo unaona umeuliza swali la msingiiiiii baada ya kutafakari sanaaa??😀
Kama husikii Mungu akisema kupitia yeye,si ajabu yeye Sie aliekusudiwa uisikie sauti ya Mungu kupitia yeye.
So nenda na zingatia kule unakoisikia sauti ya Mungu na kuielewa.
Chill.Unataka kusema nn mfano.
Utakuwa vile vidada vinavyovaa vimini kanisani kwake.
Hauwaambii kitu
Kamwili ka pesa...Yah..kabwana fulani hakana.mwili yuko yuko
Sio mtume Petro, Kanisa liliamua kuishi kiushirika! Narudia tena ni Kanisa sio amri ya Petro ingawa ndio alikuwa mkuu wa Kanisa.Soma vizuri matendo 5:1-16
Ile Sadaka ilikuwa akabidhiwe mtume Petro,wao wakacheat,wakatoa nyingine wakaibana,kilichofuatia ulikuwa ni msiba...
Sasa endelea kuficha Sadaka[emoji851]
Eubert Angel ni baba wa Major one, bushir hapo tayari jibu unalo ni watu wa namna Gani hawaAnaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security
Mkewe ana PhD.
Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja. Halazimiki kubaki hapo Morogoro
Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.
Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.