Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.

Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma

Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?

Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Weka picha
 
Sipendi kabisa ligi na poor brain kama wewe,...Sikiliza we subiri kofia na t-shirt za CCM ukabishane majukwaani.
Nipishe mie
 
Ni kijana mpya katika huduma ya uinjilishaji, ila amekosa adabu na nidhamu katika kuvaa yeye na waumini wake wamekosa hekima ya kujisitiri ili kulinda ushuhuda wao
Exactly nimeliongelea hili Ila naona watu wananiambia nifuate neno lake mavazi hayanihusu.

Ina maana kadada kako uchi wa mnyama Sana,,,na kamstari kachupi kanaonekana halfu we umekomalia kusema nisiangalie Mavazi niangalie neno.
 
Unamtetea kwa kigezo kipi mkuu.
 
Watu.wachache watakuelewa kaka
 
Unaongea upumbavu
 
Soma vizuri matendo 5:1-16
Ile Sadaka ilikuwa akabidhiwe mtume Petro,wao wakacheat,wakatoa nyingine wakaibana,kilichofuatia ulikuwa ni msiba...
Sasa endelea kuficha Sadaka[emoji851]
Sio mtume Petro, Kanisa liliamua kuishi kiushirika! Narudia tena ni Kanisa sio amri ya Petro ingawa ndio alikuwa mkuu wa Kanisa.

Vyote vilivyopatikana walivitumia kwa ushirika sio Mitume kujinufaisha kwa ufahari! Siku hizi injili inatumika kama fursa kiuchumi! Wanatumia mistari kuhalalisha hilo. Wanasema imeandikwa watumishi watakula madhabahuni lakini wao wanasaza madhabahuni.

Tunafikiri ni kama waajiriwa wa Mungu na tunastahili mapato hasa utajiri! Kibali cha kumtumikia Mungu ni neema ya kutetemekea! Hatuna mastahili hata ya kulitamka jina lake. Tutumie hizo huduma kuvuta watu kwa Kristo sio kuwavuta kwenye Makanisa yetu tuvune sadaka!

Ipo siku ambayo kila mmoja wetu itamjia ghafla na tutajibu mbele ya kiti cha hukumu. Ni bora ufanye mambo yako mengine kuliko kutumia injili kuvuna wakati tumepewa vipawa bure! Tunadai mishahara kwenye professional zetu sababu tulilipia gharama kujua! Vipawa tunapewa bure, tuvitumie bure!
 
Eubert Angel ni baba wa Major one, bushir hapo tayari jibu unalo ni watu wa namna Gani hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…