Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Yule pastari ni msela tu kama masanja, wao wenyewe wanavaa kisela na waumini wao nao wanavaa kisela sela tu. Ndio uvaaji wa mapastari na waumini wao wa kisasa. Wazee wa zamani wanaona uvaaji huo ni vituko. Shangaa praise wao wakiwa mbele ya madhabahu wanaabudisha, nguo walizozivaa ni aibu tupu
 
Kuna wakati flani kwenye maisha yangu ya dhambi nilienda kwa mganga mida ya asubuhi sasa nikakuta mganga kama kachoka sana. Kumuuliza ndo akasema usiku mzima alikesha anahudumia wachungaji.
Huyo mganga wako nae mmbea.
 
Vipi kuhusu Ananipa na Safira?toeni Sadaka jamani
Anania na Safira wameingiaje hapa?

Sadaka ya enzi zile haikuwa ikiishia kwa acc ya mtume yeyote ujue

Hawa mitume wa leo sadaka zote inaingia kwa acc zao na michepuko yao na ndio maana wakinyimwa sadaka na watu wenye akili na maarifa yale maafa ya kina Anania na Safira huwa hayawapati wenye akili na maarifa 😂
 
Anania na Safira wameingiaje hapa?

Sadaka ya enzi zile haikuwa ikiishia kwa acc ya mtume yeyote ujue

Hawa mitume wa leo sadaka zote inaingia kwa acc zao na michepuko yao na ndio maana wakinyimwa sadaka na watu wenye akili na maarifa yale maafa ya kina Anania na Safira huwa hayawapati wenye akili na maarifa 😂
Soma vizuri matendo 5:1-16
Ile Sadaka ilikuwa akabidhiwe mtume Petro,wao wakacheat,wakatoa nyingine wakaibana,kilichofuatia ulikuwa ni msiba...
Sasa endelea kuficha Sadaka🤓
 
Soma vizuri matendo 5:1-16
Ile Sadaka ilikuwa akabidhiwe mtume Petro,wao wakacheat,wakatoa nyingine wakaibana,kilichofuatia ulikuwa ni msiba...
Sasa endelea kuficha Sadaka🤓
Kumbe weye huwa unasoma maandiko pasipo kuyaelewa!

Petro hakuwahi kutunza sadaka, achilia mbali mtume Paulo aka mshona mahema naye hakuwa na acc ila alipiga kazi ya kushona hema na malipo ya kazi hiyo aliwapa msaada wahitaji

Sasa niambie hao kina Boniface waliowahi kukutumia gawio baada ya kukusanya sadaka kwa miamara ya tigopesa?

Soma vizuri maandiko bhana 😂
 
Yule pastari ni msela tu kama masanja, wao wenyewe wanavaa kisela na waumini wao nao wanavaa kisela sela tu. Ndio uvaaji wa mapastari na waumini wao wa kisasa. Wazee wa zamani wanaona uvaaji huo ni vituko. Shangaa praise wao wakiwa mbele ya madhabahu wanaabudisha, nguo walizozivaa ni aibu tupu
Screenshot_20230706_204839_Chrome.jpg
 
Kumbe weye huwa unasoma maandiko pasipo kuyaelewa!

Petro hakuwahi kutunza sadaka, achilia mbali mtume Paulo aka mshona mahema naye hakuwa na acc ila alipiga kazi ya kushona hema na malipo ya kazi hiyo aliwapa msaada wahitaji

Sasa niambie hao kina Boniface waliowahi kukutumia gawio baada ya kukusanya sadaka kwa miamara ya tigopesa?

Soma vizuri maandiko bhana 😂
Nisielewe vipi kwani hiyo verse kisa Cha hao marehemu kilikuwa Nini??hizo pesa walizoficha hao marehemu zilikuwa zikabidhiwe Kwa nani?
 
Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security

Mkewe ana PhD.

Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja. Halazimiki kubaki hapo Morogoro

Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.

Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
Huyu Eubert Angel si ndio yule kingpin wa Gold Mafia hapo Zimbabwe?
 
Back
Top Bottom