Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaaMimi huwa ukiniuliza ujinga nakujibu kijinga. Mimi sio Yesu kwamba unipige kofi nikugeuzie na shavu lingine. Ukinipiga kofi nakurudishia ngumi ya pua.
Dah, umeongea kitu kikubwa sana bro na huo ndio msimamo wangu.Sio mtume Petro, Kanisa liliamua kuishi kiushirika! Narudia tena ni Kanisa sio amri ya Petro ingawa ndio alikuwa mkuu wa Kanisa.
Vyote vilivyopatikana walivitumia kwa ushirika sio Mitume kujinufaisha kwa ufahari! Siku hizi injili inatumika kama fursa kiuchumi! Wanatumia mistari kuhalalisha hilo. Wanasema imeandikwa watumishi watakula madhabahuni lakini wao wanasaza madhabahuni.
Tunafikiri ni kama waajiriwa wa Mungu na tunastahili mapato hasa utajiri! Kibali cha kumtumikia Mungu ni neema ya kutetemekea! Hatuna mastahili hata ya kulitamka jina lake. Tutumie hizo huduma kuvuta watu kwa Kristo sio kuwavuta kwenye Makanisa yetu tuvune sadaka!
Ipo siku ambayo kila mmoja wetu itamjia ghafla na tutajibu mbele ya kiti cha hukumu. Ni bora ufanye mambo yako mengine kuliko kutumia injili kuvuna wakati tumepewa vipawa bure! Tunadai mishahara kwenye professional zetu sababu tulilipia gharama kujua! Vipawa tunapewa bure, tuvitumie bure!
Unaliaibisha hilo jina unalotumia badilisha hata mwenye jina hilo akiona comments zako atatoa machozi.Acha upumbavu wewe chawa wa Kapola.
Hahaaaaa kizazi cha Kanisa la kisasa wao wanaamini Mungu naye amekuwa wa kisasa na utandawazi. Hao ni wa kuwaonea huruma.Utakuwa vile vidada vinavyovaa vimini kanisani kwake.
Hauwaambii kitu
Krazer[emoji849]Kizazi cha nyoka kinapingana na injili ya kristo. Haha haha haha hahah hahah hahah halafu wanajiona wanauliza maswali ya hekima kumbe ni upumbavu machoni kwa Mungu.
Hahaha haha haha haha haha
KAA KIMYA. SIKO HAPA KUFURAHISHA MTU.Unaliaibisha hilo jina unalotumia badilisha hata mwenye jina hilo akiona comments zako atatoa machozi.
Hakuna tofauti na kupewa vbunda na kuua dudu la yuyUnajua wito wake ulivyo?
Mkitafuta watu mtapata watu na karama zao, utaishia kumpa Kristo kwa sehemu tu! Ila kwenye Kanisa la kweli utampa Kristo kwa ukamilifu wake. Tafuta kulijua Kanisa la kweli badala ya mtumishi wa kweli.Hakika
imani na wokovu si kwa kila mtu, Jifunze kusikiliza neno la Mungu na kulitafakali mambo ya kuchunguza watumishi utachelewa sana
Pia ukiona kutoa sadaka unaibiwa acha hamna anayekulazimisha
Most of you mnamuattack personally sijaona anayeattack mafundisho yake.
Tafuta mtumishi wako unayeona ni wa kweli sali toa sadaka yako ishi maisha yako. That all
Tuishi humoMkitafuta watu mtapata watu na karama zao, utaishia kumpa Kristo kwa sehemu tu! Ila kwenye Kanisa la kweli utampa Kristo kwa ukamilifu wake. Tafuta kulijua Kanisa la kweli badala ya mtumishi wa kweli.
Kuchungwa huko kwioo🙃Kwanini atulii kanisani kwake ?
Waumini wake wanachungwa na nani?
Kwanini haubili mavazi?
Hahhahaaa halooo ulivyodadafua vzr inaonekana na ww uko kwenye inner cycle yake ..mana si kwa kujua vyote hvyoKanisani kwake alianzisha ujenzi mkubwa. Hata kabla haujasimama sawasawa akaona pengine mkwanja ulikuwa unaingia kiduchu. Akaamua kuhamishia huduma kwenye mahoteli makubwa makubwa katika miji tofauti tofauti huku akialika waimbaji wa gospel ma celebrity caliber ya akina Rose Muhando anawalipa millions huku kanisani kwake waumini bado wanapambana na ujenzi.
Huku kwenye ibada na semina za kwenye mahoteli makubwa haya naona ndiko amegundua kuna mkwanja wa kueleweka mpaka ameamua kutelekeza kikanisa chake mazima na kumwachia huyo dogo wa SUA. Na sasa kapata u celebrity fulani nadhani kurudi kwenye kikanisa chake alikoanzia anaona ni kama kupoteza muda tu. Jamaa mmoja ambaye yuko kwenye inner cycle yake anasema kwa sasa anatafuta apartment Masaki ahamie yeye na familia yake. Hicho kikanisa cha huko Uswazi kikimshinda huyo dogo aliyeachiwa naona kitajifia tu!
Pesa mwanaharamu!
We nae utakua ni muumin wake sema sababu pale kasanga mmeachwa kwenye mataa unaumia[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kurudi moro ngumu.
Kanisa lake mm nimesali mwanzoni alikuwa kasanga.
Mahubiri yake yanawafavour Sana mademu.
Sasa baada ya kuanza visemina zake dar makumbusho kutwa yuko hapo.hana muda tena wa kurudi morogoro saa hivi kaamia morpgoro hoteli kule waluguru hawana hela mpaka wauze mpunga.
Huku dar hakuna mtume hapataki ndo maana hauwakuti wakienda Rukwa,songea sijui tunduru kutwa mjini.
mjini Hapamkatai mtu.
Muulizeni pastor kimaro
We ni ME au KE?Kuchungwa huko kwioo🙃
Iko hivi, ngono ndio sharti moja kuu wanalopewa manabii(watumishi) wa uongoHujui unachokisema.
Binafsi naheshimu sana watumishi wa Mungu lakini ukweli acha usemwe. Wengine hawajasimama katika kweli na wanafanya madhara makubwa sana na huu Ukristo wetu wa kisasa wa kuabudu personality za hawa mitume na manabii badala ya kusimama katika Neno.
In short Kapola is dirty. Ameharibu mabinti wengi sana waliopita pale kwake. Clinically the guy can be classified as a prolific and ruthless sexual predator. Ingekuwa ni huko kwenye nchi za wenzetu angekuwa na kesi nyingi sana mahakamani za sexual manipulation, grooming and abuse.
Na kwa vile Mungu huwa hadhihakiwi, subiri anguko lake litakapofika ndiyo utaelewa. Kwa sasa kama unasali kwake au unamwona tu kwenye TV huwezi kuelewa. Tunza hii comment na tuombe tuwe wazima.
Pray for him, if you can!
View attachment 2678117
Sharti zuri sana hili. Ingekuwa na kwenye kusaka Utajiri tunapewa masharti mazuri kama haya, ningekuwa Bilionea.Iko hivi, ngono ndio sharti moja kuu wanalopewa manabii(watumishi) wa uongo
As unavyowazini waumini wako ndipo title yako inaongezeka.
Kwahiyo anafanya aliloamriwa na yule aliyemtuma