Jan-uary JF-Expert Member Joined Dec 7, 2017 Posts 984 Reaction score 1,058 Nov 18, 2023 #41 Pesa ni za Wananchi ,Rais ni Mwajiriwa wa wananchi analipwa mshahara nk.
NGOSWE2 JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 1,323 Reaction score 1,608 Nov 18, 2023 #42 BEFORE said: Hatari Sana mkuu. Unajua machawa kwa kawaida sio Watu wenye aibu linapo kuja swala la kutetea vibarua vyao. Click to expand... Ovyo sana hawa Mkuu! Wanatuona hatuna akili kama wao. Wanasisitiza wananchi walipe kodi, wakiisha kusanywa kodi ya Watanzania , warudi kuwadhihaki kwa kusema 'tunamshukuru mama kwa kutoa pesa '
BEFORE said: Hatari Sana mkuu. Unajua machawa kwa kawaida sio Watu wenye aibu linapo kuja swala la kutetea vibarua vyao. Click to expand... Ovyo sana hawa Mkuu! Wanatuona hatuna akili kama wao. Wanasisitiza wananchi walipe kodi, wakiisha kusanywa kodi ya Watanzania , warudi kuwadhihaki kwa kusema 'tunamshukuru mama kwa kutoa pesa '