Nani anaweza kuthibitisha kuwa binadamu ni udongo?

Nani anaweza kuthibitisha kuwa binadamu ni udongo?

Binaadamu asili yake ni udongo hio haina pingamizi, ukichunguza maisha yote ya binaadamu anategemea udongo kuanzia makaazi, chakula na hata akimaliza muda wa kuishi sehemu ya kumuhifadhi ili asilete maudhi kwa wengine anarejeshwa kwenye udongo.
Tabia ya kuzaliana ni utaratibu tu wakuongeza na kuimarisha idadi ya binaadamu wala si kutu cha kushangaza, kwa mfano karatasi asili yake ni mti, kitambaa asilii yake ni mti nk lakini vitu vyote hivyo vina "out put" isiofanana na asili yake.

Katika suala la nafsi na moyo
Nafsi ni sehemu ya akili (conscious mind- ago part) ambayo inahusika na vitu vya kupendeza, utamu, raha,(kiufupi inauhusiana na tabia ya ubinafsi kwa kila mwanaadamu).
Moyo ni kiungo kinachofanya kazi ya kusukuma damu na vile vile kiungo hicho kinafanya kazi ya kumeza au kuhifadhi kwa muda mrefu maamuzi ya nafsi, kwa hio mara nyingi moyo na nafsi zina positive correlation.
nafikiri nimajaribu kujibu maswali yako
Hii kaweke makumbusho.

Mwanadamu akipimwa anaonekana ana elements za udongo kwa sababu anakula vitu toka udongoni!
Mbali na hapo unaleta ngonjera
 
Hiyo issue ya kusema watu walitokana na udongo, hata baadhi ya machapisho ya sayansi yanakubali.

Ni kwa sababu elements zote [H, O, N, S, C, +MADINI] Yaliyopo kwenye miili ya watu inapatikana pia kwenye udongo.
Hata vyakula tunavyokula navyo ni udongo, ndio maana kuna mtu anazaliwa na 3.5Kg lakini anazikwa na 100Kg.
Photosynthesis ndio mchakato unaowasaidia watu kujiongezea kiwango cha 'udongo' kwenye miili yao kwa kula vyakula vilivyotokana na udongo.

Hilo swali la pili bado ni debate iliyopo mezani.

Lakini madini hayo pia yapo hewani pia (universe nzima inayojulikana), je bado utasema ni udongo tu?

 
Ondoa matapishi huku inteligensia tafadhali!
Usichokiamini wewe kiache kama kilivyo kwani hata unachokiamini wewe kikiitwa matapishi utakasirika.

UUMBAJI WA MWANAUME NA MWANAMKE (Mwanzo 1:24-28; 2:7, 18-24)
Uumbaji wa mtu umeelezewa katika kitabu cha Mwanzo 2:7; " naye Bwana Mungu akamuumba binadamu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani mwake pumzi ya uhai na binadamu akawa nafsi hai."
Hatima Mungu aliyomtakia binadamu imeelezwa katika kitabu cha Mwanzo 1:26; "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu na muache akatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, wanyama na dunia yote na chote kitambaacho juu ya nchi. "
 
Habar zenu humu. Nimeona Leo niulizee hili swali tunaambiwa binadamu wote ni udongo kwa sababu tumeumbwa kwa udongo. Lakin katika hali ya kawaida sisi sote tunazaliwa na hakuna ambaye tumeona kaumbwa kwa udongo. Je nani anaweza kutupa uthibitisho wa kuwa sisi ni udongo

Swali la pili naombeni nafsi ni nin na kaz zake ni zipi pia naomba kupewa mahusiano ya karibu katika ya moyo na nafsi . kipi kina umuhimu zaid na kina nguvu kuliko kingine katika maisha ya kila siku ya binadamu

Asanten

MARKING SCHEME
1.Mungu
2.nafsi ni none tangible na moyo ni tangible.
 
Usichokiamini wewe kiache kama kilivyo kwani hata unachokiamini wewe kikiitwa matapishi utakasirika.

UUMBAJI WA MWANAUME NA MWANAMKE (Mwanzo 1:24-28; 2:7, 18-24)
Uumbaji wa mtu umeelezewa katika kitabu cha Mwanzo 2:7; " naye Bwana Mungu akamuumba binadamu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani mwake pumzi ya uhai na binadamu akawa nafsi hai."
Hatima Mungu aliyomtakia binadamu imeelezwa katika kitabu cha Mwanzo 1:26; "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu na muache akatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, wanyama na dunia yote na chote kitambaacho juu ya nchi. "
Leta proof tafadhali na sio huu ujinga
 
NAjiuliza tu; how comes natoka kuoga tena vizuri tu na sabuni nzuri and in fact najisugua kabisa but still nikijifuta na TAULO, taulo linachafuka. Kinacholichafuaga TAULO hua ni nini hasa!?
 
ukifa unazikwa n unakua udogo ndg yng mwl unaoza kabisa den unakua udogo
 
Na ile kauli inayosema umetoka kwaudongo na unarudi kwa udongo, jina la bwana lihimidiwe
 
Kama wanasayansi wangekuwa na mawazo kama yako hakika tungekuwa tunaishi bado kwenye dark ages

Tunataka prove hatutaki maneno bila ya uthibitisho

Mfano vitabu vya dini viteketezwe vyote halafu miaka 1000 mbele tuambiwe zirudishwe hakika hazitorudishwa lakini sayansi unaweza kuharibu hata ipite miaka 1000 kupitia experiment, nk zitarudishwa tu

Je maneno ya vitabu zina scientific proof
Vitabu vya dini havina hiyo scientifical proof bali SUPERNATURAL proofs.
 
Habar zenu humu. Nimeona Leo niulizee hili swali tunaambiwa binadamu wote ni udongo kwa sababu tumeumbwa kwa udongo. Lakin katika hali ya kawaida sisi sote tunazaliwa na hakuna ambaye tumeona kaumbwa kwa udongo. Je nani anaweza kutupa uthibitisho wa kuwa sisi ni udongo

Swali la pili naombeni nafsi ni nin na kaz zake ni zipi pia naomba kupewa mahusiano ya karibu katika ya moyo na nafsi . kipi kina umuhimu zaid na kina nguvu kuliko kingine katika maisha ya kila siku ya binadamu

Asanten
KAFUKUE KABURI LA BABU MZAA BABU YAKO USIPOKUTA UDONGO UTAKUTA NYWELE JE BADO SIYO UDONGO?
 
Habar zenu humu. Nimeona Leo niulizee hili swali tunaambiwa binadamu wote ni udongo kwa sababu tumeumbwa kwa udongo. Lakin katika hali ya kawaida sisi sote tunazaliwa na hakuna ambaye tumeona kaumbwa kwa udongo. Je nani anaweza kutupa uthibitisho wa kuwa sisi ni udongo

Swali la pili naombeni nafsi ni nin na kaz zake ni zipi pia naomba kupewa mahusiano ya karibu katika ya moyo na nafsi . kipi kina umuhimu zaid na kina nguvu kuliko kingine katika maisha ya kila siku ya binadamu

Asanten
kufa kwanza na ndipo utajua kuwa wewe ni udongo au chuma
 
Back
Top Bottom