Nani anaweza kuthibitisha kuwa binadamu ni udongo?

Nani anaweza kuthibitisha kuwa binadamu ni udongo?

Kama wanasayansi wangekuwa na mawazo kama yako hakika tungekuwa tunaishi bado kwenye dark ages

Tunataka prove hatutaki maneno bila ya uthibitisho

Mfano vitabu vya dini viteketezwe vyote halafu miaka 1000 mbele tuambiwe zirudishwe hakika hazitorudishwa lakini sayansi unaweza kuharibu hata ipite miaka 1000 kupitia experiment, nk zitarudishwa tu

Je maneno ya vitabu zina scientific proof

Elewa kuwa Science ni maendeleo katika Civilisation ya Binaadam. Elimu tuliyokuwa nayo sisi binaadam ni limited. There are many many things of which Science cannot explain. Those things are basically beyond our understanding. Although there are plenty of Amazing things that Science has revealed to us as well. Quran asks us to study everything and gave us clues of so many things of which we have come to discover recently and we still continue researching for more discovery.

All religious Books may burn and vanish but Quran will not vanish. Because Millions of Muslims around the world know all Quran in their hearts. It can always be re-written. That is infact 100% guarantee. However, in contrary of what you claimed, if All Science inventions are lost then there is no guarantee of getting all the lost scientific information back through experiment. For instance, look at how much previous knowledge lost but until now Science failed to retrieve the Scientific proofs of their existence and explanation, here are just few of them:

Top 10 Ancient Achievements that science can't explain.

Some of the things mentioned in Quran 1,400 yrs ago but Science only came to discover them recently:

SCIENTIFIC FACTS IN THE QURAN

The Quran was revealed to the Prophet Muhammad (peace and blessings of Allah be upon him) in the 7th century. Science at the time was primitive. There were no telescopes, microscopes or anything even close to the technology we have today.
People believed that the sun orbited the earth and that the sky was held up by big pillars at the corners of a flat earth. Within this backdrop the Quran was revealed, and it contains many scientific facts on topics ranging from Astronomy through to Biology.
Some people may claim that the Quran was changed as new scientific facts were discovered. But this cannot be the case, because it is a historically documented fact that the Quran is preserved in its original language. The Quran was written down and memorised by people during the lifetime of the Prophet Muhammad (peace and blessings of Allah be upon him). One of the copies of the Quran which was written a few years after the death of the Prophet Muhammad (peace and blessings of Allah be upon him) is preserved in a museum in Uzbekistan. This copy is over 1400 years old and is exactly the same as the Arabic Quran that we have today.
The following are nine scientific facts found in the Quran:

1: ORIGIN OF LIFE

Water is essential for all living things. We all know that water is vital to life, but the Quran makes a very unusual claim:
“WE MADE EVERY LIVING THING FROM WATER? WILL THEY NOT BELIEVE?”[21:30]
In this verse, water is pointed out as the origin of all life. All living things are made of cells. We now know that cells are mostly made up of water. For example, 80% of the cytoplasm (basic cell material) of a standard animal cell is described as water in biology textbooks.
The fact that living things consist mostly of water was discovered only after the invention of the microscope. In the deserts of Arabia, the last thing someone would have guessed is that all life came from water.
2: IRON

Iron is not natural to the earth. It did not form on the earth but came down to earth from outer space. This may sound strange but it’s true.
Scientists have found that billions of years ago the earth was struck by meteorites. These meteorites were carrying Iron from distant stars which had exploded.
The Quran says the following on the origin of Iron:
“WE SENT DOWN IRON WITH ITS GREAT INHERENT STRENGTH AND ITS MANY BENEFITS FOR HUMANKIND”[57:25]
God uses the words ‘sent down’ for Iron. It is clear from the verse that Iron is not an earthly material, but was sent down for the benefit of humanity. The fact that Iron came down to earth from outer space is something which could not be known by the primitive science of the 7th century.
3: SKY’S PROTECTION

The sky plays a crucial role in protecting the earth. The sky protects the earth from the lethal rays of the sun. If the sky did not exist then the sun’s radiation would have killed off all life on earth.
It also acts like a blanket wrapped around the earth, to protect it from the freezing cold of space. The temperature just above the sky is approximately -270oC. If this temperature was to reach earth then the planet would freeze over instantly. The sky also protects life on earth by warming the surface through heat retention (greenhouse effect), and reducing temperature extremes between day and night. These are some of the many protective functions of the sky.
The Quran asks us to consider the sky in the following verse:
“WE MADE THE SKY A PROTECTIVE CEILING. AND YET THEY ARE TURNING AWAY FROM OUR SIGNS!” [21:32]
The Quran points to the sky’s protection as a sign of Allah. The protective properties of the sky were discovered by scientific research conducted in the 20th century.
4: MOUNTAINS
The Quran draws our attention to a very important characteristic of mountains:
“DID WE NOT MAKE THE EARTH A RESTING PLACE? AND THE MOUNTAINS AS STAKES?”[78:6-7]
The Quran indicates that mountains have deep roots by using the word stakes to describe them. In fact, mountains do have deep roots, and the word stakes is an accurate description for them. A book titled ‘Earth’ by Geophysicist Frank Press explains that mountains are like stakes, and are buried deep under the surface of the earth.Mount Everest, the height of which is approximately 9 km above ground, has a root deeper than 125 km.
The fact that mountains have deep ‘stake’ like roots was not known until after the development of the theory of plate tectonics in the beginning of the 20th century.
5: EXPANSION OF THE UNIVERSE

At a time when the science of Astronomy was still primitive, the expansion of the universe was described in the Quran:
“AND IT IS WE WHO HAVE BUILT THE UNIVERSE WITH [OUR CREATIVE] POWER AND KEEP EXPANDING IT.”[51:47]
The fact that the universe is expanding was discovered in the last century. The physicist Stephen Hawking in his book ‘A Brief History of Time’ writes, “The discovery that the universe is expanding was one of the great intellectual revolutions of the 20th century.” The Quran mentioned the expansion of the universe even before the invention of the telescope!
6: SUN’S ORBIT

In 1512 the astronomer Nicholas Copernicus put forward his theory that the Sun is motionless at the centre of the solar system, and that the planets revolve around it.
The belief that the Sun is stationary was widespread amongst astronomers until the 20th century. It is now a well-established scientific fact that the Sun is not stationary, but is moving in an orbit around the centre of our Milky Way galaxy. The Quran mentions the orbit of the Sun:
“IT IS HE WHO CREATED NIGHT AND DAY, THE SUN AND THE MOON, EACH FLOATING IN ITS ORBIT.”[21:33]
The Quran would have been wrong according to astronomers just a couple of decades ago. But we now know that the Quranic account of the Sun’s motion is consistent with modern Astronomy.
7: THE OCEAN

The Quran uses imagery to covey its deep meanings, here it describes the state of the unbelievers as:
“DARKNESS OUT IN A DEEP OCEAN WHICH IS COVERED BY WAVES, ABOVE WHICH ARE WAVES, ABOVE WHICH ARE CLOUDS, LAYERS OF DARKNESS, ONE UPON THE OTHER. WHEN ONE PUTS OUT HIS HAND [THEREIN], HE CAN HARDLY SEE IT. THOSE GOD GIVES NO LIGHT TO, THEY HAVE NO LIGHT.”[24:40]
It is commonly thought that waves only occur on the surface of the ocean. However, oceanographers have discovered that there are internal waves that take place below the surface of the ocean. These waves are invisible to the human eye, and can only be detected by specialist equipment. The Quran mentions darkness in a deep ocean above which are waves, above which are waves, then clouds above that. This description is not only remarkable because it describes the internal waves in the ocean, but also because it describes darkness deep in the ocean. A human being can dive no more than 70 metres without breathing equipment. Light is present at that depth, but if we go down 1000 metres it is completely dark . 1400 years ago there were no submarines or specialist equipment to discover internal waves or the darkness deep inside the oceans.
8: LYING & MOVEMENT

There was a cruel oppressive tribal leader named Abu Jahl who lived during the time of Prophet Muhammad (peace and blessings of Allah be upon him). Allah revealed a verse of the Quran to warn him:
“NO INDEED! IF HE DOES NOT STOP, WE WILL SEIZE HIM BY THE FOREHEAD, HIS LYING, SINFUL FOREHEAD.”[96:15-16]
Allah does not call this person a liar, but calls his forehead (the front part of the brain) ‘lying’ and ‘sinful’, and warns him to stop.

This verse is significant for two reasons. The first is that the front part of our brain is responsible for voluntary movement. This is known as the frontal lobe.
A book titled ‘Essentials of Anatomy and Physiology’ which includes the results of research on the functions of this area states:
THE MOTIVATION AND THE FORESIGHT TO PLAN AND INITIATE MOVEMENTS OCCUR IN THE ANTERIOR PORTION OF THE FRONTAL LOBES, THE PREFRONTAL AREA. THE PART OF THE BRAIN THAT IS RESPONSIBLE FOR MOVEMENT IS SAID TO BE SEIZED IF THE MAN DOES NOT STOP.

Secondly, numerous studies have shown that this same region (frontal lobe) is responsible for the lying function of the brain. One such study at the University of Pennsylvania in which volunteers were asked questions during a computerized interrogation, it was found that when the volunteers were lying there was significantly increased activity in the prefrontal and premotor cortices. The front part of the brain is responsible for movement and lying. The Quran links movement and lying to this area. These functions of the frontal lobe were discovered with medical imaging equipment which was developed in the 20th century.
9: PAIN RECEPTORS

For a long time it was thought that the sense of feeling and pain was dependent on the brain. However, it has been discovered that there are pain receptors present in the skin. Without these pain receptors, a person would not be able to feel pain.

Consider the following verse on pain:

“WE SHALL SEND THOSE WHO REJECT OUR REVELATIONS TO THE (HELL) FIRE. WHEN THEIR SKINS HAVE BEEN BURNED AWAY, WE SHALL REPLACE THEM WITH NEW ONES SO THAT THEY MAY CONTINUE TO FEEL THE PAIN: GOD IS ALMIGHTY, ALL-WISE.”[4:56]

Allah tells the people who reject his message that when they are in Hell and their skins are burnt off (so they can’t feel any pain), he will give them new skins so that they continue to feel the pain. The Quran makes it clear that pain is dependent upon the skin. The discovery of pain receptors in the skin is a fairly recent discovery for Biology.

CONCLUSION

These are just some of the many scientific facts found in the Quran. It is important to note that the Quran is not a book of science, but that it is consistent with science.

To claim that scientific facts in the Quran are due to coincidence would be irrational. The best explanation is that God revealed this knowledge to the Prophet Muhammad (peace and blessings of Allah be upon him).

Just like the Quran contains knowledge about the natural world, it also contains information about the inner dimensions of our souls. It relates to our feelings, wants and needs. The Quran informs us that we have a purpose in life, and that following Allah’s guidance will lead us to inner peace in this life, and Paradise in the hereafter. And that rejection of his message will lead to depression in this life and Hellfire after death.

“WE SHALL SHOW THEM OUR SIGNS IN THE UNIVERSE AND WITHIN THEMSELVES, UNTIL IT BECOMES CLEAR TO THEM THAT THIS IS THE TRUTH. IS IT NOT ENOUGH THAT YOUR LORD IS THE WITNESS OF ALL THINGS?”[QURAN 41:53]
 
Habar zenu humu. Nimeona Leo niulizee hili swali tunaambiwa binadamu wote ni udongo kwa sababu tumeumbwa kwa udongo. Lakin katika hali ya kawaida sisi sote tunazaliwa na hakuna ambaye tumeona kaumbwa kwa udongo. Je nani anaweza kutupa uthibitisho wa kuwa sisi ni udongo

Swali la pili naombeni nafsi ni nin na kaz zake ni zipi pia naomba kupewa mahusiano ya karibu katika ya moyo na nafsi . kipi kina umuhimu zaid na kina nguvu kuliko kingine katika maisha ya kila siku ya binadamu

Asanten
Ningependa kuliweka vizuri swali lako la pili. Nafikiri Moyo uliokuwa unaouzungumzia hapo sio Moyo as kiungo cha mwili bali ndiyo Nafsi yenyewe. Yaani mfano kusema moyo umetamani kitu fulani ni sawa na kusema nafsi imetamani kitu fulani. Kama sijakosea Kwa hapo nadhani swali lako lilikuwa nini Tofauti kati ya Nafsi na Roho.

Kwa kiarabu Roho ni Rooh na Nafsi ni Nafs. Mimi ni Muislam kwa hiyo Reference zangu ni za Quran. Hapo ndipo kila jibu la swali lako linapatikana.

The difference between the Rooh and the Nafs – both which can be translated as “soul” or “spirit” – is a question whose full answer depends upon having knowledge of the soul, which is something that is beyond the power of human knowledge.

Allah says: “They ask you concerning the soul (rooh). Say: ‘The soul is of the command of my Lord. Of knowledge, it is only a little that is communicated to you’.” [Sûrah al-Isrâ’: 85]

Both “nafs” and “rooh” are two distinct words which are both translated as “soul or spirit” in English. The word rooh is the same as the English word for soul. Rooh(Roho) is a spirit that God gave Adam and every human from birth.

Nafs, however, is slightly different. The word nafs is defined as “a feature of the soul. This feature continuously directs people to committing sin.”★ The desire to commit evil acts, such as lying and cheating, is therefore a result of the nafs. Au kwa kiswahili tunaweza kusema matamanio.

When a person follows the demands of his/her nafs, it grows stronger and demands more. Fighting against its wishes and worshiping more often, on the other hand, weakens the nafs and diminishes its impact on the person’s life. That being said, nafs can also be used to define “the self” as a whole instead of only the evil portion of it.

And Allah knows best.
 
Lakini madini hayo pia yapo hewani pia (universe nzima inayojulikana), je bado utasema ni udongo tu?

Huenda ukawa ni ushahidi kuwa ulimwengu wote na mambo yote yaliyomo yametokana na origin moja.
 
Usichokiamini wewe kiache kama kilivyo kwani hata unachokiamini wewe kikiitwa matapishi utakasirika.

UUMBAJI WA MWANAUME NA MWANAMKE (Mwanzo 1:24-28; 2:7, 18-24)
Uumbaji wa mtu umeelezewa katika kitabu cha Mwanzo 2:7; " naye Bwana Mungu akamuumba binadamu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani mwake pumzi ya uhai na binadamu akawa nafsi hai."
Hatima Mungu aliyomtakia binadamu imeelezwa katika kitabu cha Mwanzo 1:26; "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu na muache akatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, wanyama na dunia yote na chote kitambaacho juu ya nchi. "
Kama Mungu alimwumba binadamu kwa kutumia udongo, je ni materials yapi aliyotumia kuumba viumbe wengine kama vile wanyama na mimea?
 
Hivi kufanana kwa vitu maanake kimoja kinatokana na kingine? Sio kwamba yawezekana vinatokana na kitu kingine cha tatu, yaani vinafanana kwa sababu asili yao ni moja?
Mkuu umegusia kitu cha maana sana.

Ni sawasawa na wewe ufanane na Kaka yako, haimaanishi kwamba umetoka kwa Kaka yako bali mmetoka kwa Familia moja.

Kufanana kwa contents za udongo, anga, wanyama na mimea, huenda ikawa ni ushahidi kwamba vitu vyote vina ancestor mmoja.
Kuhusu huyo ancestor wa ulimwenguni nini?[The origin of the universe?] bado hakuna jibu sahihi la hilo swali.
 
Kua na some elements ambazo zinapatikana kwenye ardhi doesn't make us udongo.
Udongo ni nini? Kuna udongo wenye composition tofauti, binadamu anatokana hasa na upi?
Tukisema binadamu ni udongo kutokana na kua na elements kama Iron, Calcium e.t.c tunakosea, in that case tutaclassify kila kitu kama udongo when in reality sio. Hata hizo elements kabla ya kuingia ardhini zime-originate from something entirely different, from stars formation, nuclear fusion ikasababisha bombardments ya Hydrogen, ikawa Helium, ikapanda hadi kufika kwenye Iron, mengine yakaja kutokana na kucool down na milipuko mingine within the planet. Sasa origin ni udongo au ni nyota? Basi tuseme binadamu ni nyota kama tunaenda na this kind of thinking.

Watu wa dini wanahisi science ipo ili kupingana nao when the reality says otherwise, tupo ili kuprove kama ni kweli au tunapigwa fix tu. Bila scientific discoveries leo hii tungekua tunaishi mistuni, au tungekua kwenye slavery, au hata extinct kutokana na event flani abayo tungeshindwa kuizuia. Science is a necessity, I can't say the same for religion, imeua watu kibao utadhani Malaria.
Nyie ndiyo nawaita wenye matatizo ya kiimani,yani mmeifanya sayansi kama dini mpya ambayo ndiyo inaonekana yenye ukweli.

Sayansi si dini ambayo ina wenye kuiamini na wasioamini,na ndiyo maana watu wana dini zao na ni wanasayansi ila tatizo lenu nyie wenye matatizo ya kiimani mmeacha dini zenu huko na kuirupukia sayansi kwa kuifanya kama ndiyo dini yenu mpya na ndiyo mnaleta mabishano yasiyo na lazima.

Kama dini ingekuwa kikwazo kwa sayansi basi kusingekuwa na wanasayansi wenye dini na wenye dini wasingekuwa wanaenda hata hospitali.
 
Nikisema udongo umetokana na kuoza kwa mwili wa binadamu ambao una madini mbalimbali na kufanya udongo uwe na madini hayo kutoka mwilini mwa binadamu nitakuwa nakosea????
Utakuwa umekosea ndiyo! maana kwa kutumia concept yako itaonekana kuwa watu walianza kuwepo kabla ya udongo.

Sasa kama utasema watu walianza kuwepo kabla ya udongo, je walikuwa wanakula nini? walikuwa wamesimama kwenye nini? au walikuwa wanaelea angani?

Kingine ni kuwa ingawa udongo na viumbe vina fanana kwa sana, udongo una umri mkubwa kuliko viumbe.
 
Nyie ndiyo nawaita wenye matatizo ya kiimani,yani mmeifanya sayansi kama dini mpya ambayo ndiyo inaonekana yenye ukweli.

Sayansi si dini ambayo ina wenye kuiamini na wasioamini,na ndiyo maana watu wana dini zao na ni wanasayansi ila tatizo lenu nyie wenye matatizo ya kiimani mmeacha dini zenu huko na kuirupukia sayansi kwa kuifanya kama ndiyo dini yenu mpya na ndiyo mnaleta mabishano yasiyo na lazima.

Kama dini ingekuwa kikwazo kwa sayansi basi kusingekuwa na wanasayansi wenye dini na wenye dini wasingekuwa wanaenda hata hospitali.

Nani kasema sayansi ni dini, kutokuamini in any supernatural sio kitu kibaya, its another way of life tu. Absence of something is not presence of something else, kutokuamini dini zote haimaanishi basi sayansi imegeuka kua dini. Sayansi haiwezi kua dini, unless una definition yako mpya ya dini, the universal definition of religion is "belief and worshipping of superhuman controlling power". Kuamini sayansi zaidi hai-objectify chochote hapo kua superhuman, ni simply kujua kua kitu flani kinafanyika kwa sababu flani basi.

Na sayansi hatujaikurupukia, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo. Wanasayansi wenye dini wamejiamulia tu kutokubaliana na sayansi, kama mtu ana dini alafu bado anakwambia kuna big bang huyo ana matatizo ya akili maana haiwezekani ukawa unaamini vitu viwili vinavyopingana lazima kuna kimoja umekishikilia bila sababu.
 
Majibu ya wachangiaji yanajibu na kutoa uhakika kwamba binadamu ni udongo ...
Ulitoka kwenye udongo ... kama mzazi wako asingetumia vyakula toka kwenye udongo ingekuwa vipi?

Utarudi kwenye udongo ... ukifa si unazikwa? hivyo unarudi kwenye udongo ...

Fikra ni nini? Mawazo yanayoendelea kuishi... hayafi.

Moyo: Kiungo / Kanyama ndani ya mwili kanakoratibu mzunguko wa damu.

Ubongo: Nyama nyama laini iliyoko kichwani.
 
Nani kasema sayansi ni dini, kutokuamini in any supernatural sio kitu kibaya, its another way of life tu. Absence of something is not presence of something else, kutokuamini dini zote haimaanishi basi sayansi imegeuka kua dini. Sayansi haiwezi kua dini, unless una definition yako mpya ya dini, the universal definition of religion is "belief and worshipping of superhuman controlling power". Kuamini sayansi zaidi hai-objectify chochote hapo kua superhuman, ni simply kujua kua kitu flani kinafanyika kwa sababu flani basi.

Na sayansi hatujaikurupukia, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo. Wanasayansi wenye dini wamejiamulia tu kutokubaliana na sayansi, kama mtu ana dini alafu bado anakwambia kuna big bang huyo ana matatizo ya akili maana haiwezekani ukawa unaamini vitu viwili vinavyopingana lazima kuna kimoja umekishikilia bila sababu.
Sijasema sayansi ni dini ila nyie ndiyo mnaoifanya iwe kama dini, na ndiyo maana mnakuja kubishana na watu wa dini kisa et nyie mnasema mnaamini sayansi!!!!

Kwanza kuamini sayansi ndiyo ni nini?ndiyo maana mnasema sayansi inapingana na dini,ni kukosa uelewa tu kila kitu kina mahala pake.
 
Sijasema sayansi ni dini ila nyie ndiyo mnaoifanya iwe kama dini, na ndiyo maana mnakuja kubishana na watu wa dini kisa et nyie mnasema mnaamini sayansi!!!!

Kwanza kuamini sayansi ndiyo ni nini?na ndiyo maana mnasema sayansi inapingana na ndiyo maana sayansi inapingana na dini ni kukosa uelewa tu kila kitu kina maala pake.

Dini haina mahala pake.
 
Uwe na heshima na iman za watu hii si busara unayotumia hapa ni ujinga tuu uliokujaa!!..
Ujinga umekujaa wewe unaemwabudu mzungu.
Sasa kama unataka imani yako iheshimiwe hapa sio mahala PA imani bali ni intelligence Forum! Imani peleka makanisani na misikitini
 
Kwani we dini na sayansi unachukuliaje hivi vitu viwili?

Ni vitu viwili tofauti ndiyo. Ambavyo havikaribiani hata kidogo.
Sina shida na mtu wa dini kabisa, tatizo langu ni anayejaribu kuniforce niamini kitu ambacho haki-make sense hata kidogo.
 
Ujinga umekujaa wewe unaemwabudu mzungu.
Sasa kama unataka imani yako iheshimiwe hapa sio mahala PA imani bali ni intelligence Forum! Imani peleka makanisani na misikitini
Nikisema wew hun akili hata elim yako ina mashaka nitakuw sijakosea kabisa,unajua maana ya IMANI au ujinga mwingi uliokujaa ndo unakupelekea kuamini imani ni ile iliyo either kanisani au msikitini,after all i can't argue with an imbicile,idiotic dumb ass person like you,my IQ is beyond your stupidity finite comprehensive!!.. Thus keep away of my sight you sturbon burts!!..
 
Back
Top Bottom