nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
Ungesema sijui kuhusu jwtz unge-make more sense...Vp protokali za kijeshi zimekaaje hapo? Hujui kitu
I was wrong and you are not even right
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesema sijui kuhusu jwtz unge-make more sense...Vp protokali za kijeshi zimekaaje hapo? Hujui kitu
So compliated mifumo yao🤣🤣🤣having vyeo wanapewa baada ya mafunzo fulani au Rais anampa anayemtaka tu?
Ingekuwa wanafuata kwa mtiririko ingekuwa Rahisi kuuana kisa vyeo. Huo utaratibu uko Dunia nzima, kwamba Jenerali anateuliwa kutoka katika jopo la mejenerali regardless of seniority yao.So compliated mifumo yao
I guess i was wrong...
Yani wa chini anapewa cheo anaachwa wa juu!!!
Ndugu majeneral wote i mean brigedia, Meja, luten na CDf wanahumiwa na serikal mwanzon mwisho htav8 wanabadilishiwa kila baada ya Miaka mitano. Watatofautiana kidgo kulingana na rank ya kustFu. Wanapewa hadi wahudumu wa ndan wa nyumba plus dereva, walinzi etcMimi napenda ile staili ya Ben Mkapa(rip) yeye aliteua mtu wa kukaa nae miaka zaidi ya 8 na kuendelea,masuala ya unateua mtu halafu ndani ya miaka 2 anateuliwa mwengine ni natumizi mabaya ya kodi za nchi kwani myeuliwa wa hizo post uhudumiwa na serikali mpaka kifo chake.
Baba Nancy...😭😭Yuko jirani yangu mmoja hapa nae alikuwa anatajwa ila wiki 2 zilizopita alifariki ghafla Dodoma anaitwa Kanal Timothy Mbao
Sasa Kanali anakuaje CDF? Hizo shule mlienda kusomea ujinga?Yuko jirani yangu mmoja hapa nae alikuwa anatajwa ila wiki 2 zilizopita alifariki ghafla Dodoma anaitwa Kanal Timothy Mbao
Who is next… 😊
😁😁😁kama IGP vile
Who is next 😁
Who is next 😁
Who is next 😁
YesLuteni, Meja, Brigedia (Jenerali).
Hivi anaweza kuteuliwa mtu ambaye sio rank ya Luteni Jenerali direct akawapita walio juu yake?
Ulikuwa mbele ya mudaMeja Jenerali Suleiman Mzee kigezo cha umri kinaweza kuwa tatizo kwake. Naomba kuwasilisha