Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

Kwa hoja yako wakuregenzi hawapaswi kuwa maofisa wa tume ya uchaguzi, polisi hawapaswi kutembea na ilani ya CCM,walinzi wa Rais wasivae nguo za CCM kama walivyokuwa wanafanya wakati wa JPM, wakuu wa miko na wilaya wasiongelee mambo ya chama katika shughuli za serikali, Bashiru asengeteuliwa katibu mkuu
 
Wewe nawe utakuwa na file kule mahala,, si bure[emoji23]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Rostam Azizi alikaribishwa Magogoni.
Bashite alikuwa mtoto pendwa wakati akiwa na kashfa ya vyeti.
Kujenga Airport kijijini kwako nayo dili tu.
 
Safi sana! Na kwa taarifa, huyu mwamba kawaamsha wengi akili muda utasema tu!
 
Unakosoa nini halafu unaandika nini?
Au nawe file lako limepita maeneo?[emoji2]
 
Dialo alikuwa jikoni we ulikuwa mtaani
 
Mama samia na kamati kuu ya ccm wasimfumbie macho huyu Diallo.
Leo atamtukana kiongozi aliyepita kwa matusi km haya ila kesho napo atamtukana mama atakapostaafu.
Watu km hawa hawafai kuwa wenyeviti wa vitongoji.
Eti mwenyekiti wa ccm mkooa
Nani hajui uchafu wake??


Huku nikujipendekeza kishamba.
 
Mahojiano kati ya Mhe Anthony Diallo Mwenyejiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Mtozi Alloyce Nyanda*

Mjadala umeleta hisia na ushahidi mpya kuhusu utawala wa JPM
1. Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Biashara yetu ya Star Tv ,RFA iliharibika -Diallo

2. Sie hatukulipwa na CCM , waliolipwa ni Crew iliyokuwa inatembea na vifaa kama majukwaa , walipewa hela ya kula na kubeba vifaa , ukitazama katiba vitabu vyetu kuna hela chama hadi leo haijakipa-Diallo Mwenyekiti wa CCM

3. Mgombea wetu wa wakati ule alisema atatusaidia na alisema hadharani tena mara mbili pale
Kirumba na furahisha lakini tuliambulia misukosuko

4. Awamu ya 5 iliharibu sana protocal ya Chama , viongozi wa chama walikuwa wanawekwa mstari wa nyuma kabisa gari zinakuwa mwisho hata kama ukifika unakuta mtu amekata utepe-Anthony Diallo mwenyekiti wa CCm

5. Kuna kisa kimoja kiongozi wa CCM mkoa wakati flani tumeenda kumpokea Rais alipigiwa kiwako akadondondoka ,awamu ya Tano ilikuwa inazuia viongozi wa CCM hata kuingia uwanja wa ndege wanaelezwa kubaki nje -Antony Diallo Mwenyekiti wa CCm

6. Kuna siku nimemwambia waziri mkuu , hivi unajisikia raha gani kuzungukwa na mabunduki maana umezungukwa na mabunduki kama ishiri sie tumekuchagua ila unatuogopa ki vipi? -Antony Diallo

7. Swala hapa siyo katiba swala ni kuchagua watu makini ,unawezaje kuchagua kiongozi katika nafasi kubwa ya uongozi huku ana rekodi ya mirembe? Tuwe makini kuchagua viongozi-Anthony Diallo

8. Kama nchi tumepitia katika kiza kifupi ,tumepitishwa katika Black spot apo Nyuma , Sasa angalau watu wanaraha furaha imerejea-Dkt Anthony Diallo

9. Hata mimi Nimeshgulikiwa kidogo wakaniacha ila nimepata
Msukosuko-Anthony Diallo

10. katiba siyi ya Vyama ni ya wananchi kosa tulilofanya ni kugeuza katiba kuwa vyama na kuacha wananchi hata katika lile
bunge walitawala wananchi-Dk Anthony Diallo

11. Katiba siyo Tatizo , tatizo lipo
Kwa watu mnachagua Rais ambae hataki kufata katiba mtanfanya nini? Kwani katiba ya sasa ilikuwa inaruhusu mtu kuwekwa ndani bila utaratibu? Lakini yamefanyika-Anthony Mwandu Diallo

12. Rais samia nimefanya nae kazi ni Rais makini na jasiri ni muumini wa utawala wa bora-Anthony Diallo

13. CCM tulijua haitashinda mwaka 2015 na wananchi wamegeuka wiki mbili tu baada ya kuamua hata kuunda makundi ya vijana kwenye maeneo mbali mbali waweke Star Tv ilibidi itumike nguvu

15. Kuna mambo hatukuweza kuyasema kwa sababu mfumo uliharibika kabisa. Tuliamua kunyamaza tuliamua ku place safe mode ili kesho uendelee kuishi na watoto wako.
 
Kikwete....kuna kipindi bangi ilimchanganyaga, akaacha ila nasikia karudia tena ila si kivile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…