The wave
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 283
- 318
Ukiona hivyo elewa wanamwelewa na kumkubali, bali unafiki na uzandiki wao ndiyo unasababisha wajifanye hawamkubali. Ni Kama mafarisayo na masadukayo wa enzi za Yesu.Huyu Tundu Lissu sijui ndiye aliyewatoa usichana wenu maana kila anayekurupuka kutoka usingizini lazima amuanzishie uzi.View attachment 1848203