Nani atakuwa wa kwanza Kufa kwenye familia yenu na atakayefuatia ni nani?

Nani atakuwa wa kwanza Kufa kwenye familia yenu na atakayefuatia ni nani?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
NANI ATAKUWA WA KWANZA KUFA KWENYE FAMILIA YENU NA ATAKAYEFUATIA?

Anaandika, Robert Heriel
Yule Mtibeli.

Andiko hili linaweza kuwa nadharia tuu, inaweza kuwa kweli au kuukaribia ukweli.

Taikon aliandika andiko hili miaka ya nyuma kidogo na hivi leo nitagusia machache.

Nani atakuwa wa kwanza kufa kwenye familia yenu hili laweza kuwa swali gumu, lakini atakayefuata kufa baada ya kifo cha wakwanza linaweza likawa swali rahisi.

1. Ikiwa mzaliwa wa kwanza wakike atatangulia kufa, basi atakayemfuatia kufa atakuwa Baba. uwezekano huu ni mkubwa sana.

2. Ikiwa mzaliwa wa kwanza wa kiume atatangulia kufa, basi atakayefuatia kufa atakuwa Mama

3. Ikiwa Mama atatangulia kufa, basi upo uwezekano mkubwa wa atakayefuatia ni Baba kisha mtoto wa mwisho atafuatia ingawaje ni kama nadra.

4. Ikiwa Baba atatangulia kufa, basi atafuatia mtoto au watoto kadhaa ndipo afe Mama.

5. Ikiwa mtoto wa katikati atakufa basi itachukua miaka mingi mtu wa pili kufa atakayemfuata na mara nyingi huwa ni Baba.

6. Ikiwa mtoto wa mwisho atatangulia kufa, Basi kuna uwezekano mkubwa atakayefuatia.

7. Ikiwa mtoto wa pili kati ya wengi atatangulia kufa baada ya Baba kufariki, basi upo uwezekano akafuatia mama, kisha mtoto wa tatu, Inatarajiwa watoto wa kiume wa hii familia mmoja wapo akawa wa mwisho na ndiye atafunga dimba

Kikawaida anatakiwa Atangulie kufa Baba, kisha afuate Mama, kisha watoto wa kwanza wakiume, inatarajiwa watoto wa kike wawe wa mwisho kufa.

ikiwa kwenu tayari katangulia wa kwanza kufa basi kwa mada hii atakayefuata anafahamika.

karibuni
 
Watu kimya na nyuzi za kufa kufa[emoji848][emoji848]
Kama Ni elimu y kiroho basi Kuna kuendana na uhalisia.
Wengi wetu tunaogopa Sana tukiskia kifo,Ila sijui Ni hali ipi inayofanya tuogope.


Hata hivyo hii ni nadharia tuu inaweza kuwa kweli au isiwe kweli
 
That means this is no applicable kwa familia za mke zaidi ya mmoja.

Sawa.

Inaweza kutumika, Mtu ukioa wake wa nne tafsiri yake unafamilia nne.

Ukifa wewe kila familia itahesabika amekufa baba ambaye ni huyohuyo aliyeoa wake wanne.
 
Mmmh Sote hatuna uhakika na nadharia yako tungekuwa na pesa na muda tungefanya research labda nakupa shauri nenda Nchi zenye kutunza takwimu unaweza kuandika report nzuri ila bado itakuwa NI ya Nchi hio TU na sio dunia nzima.

asante
 
kwa hiyo unamaanisha itakuwa kawaida awamu ya 6 kufa kwa sababu ya 5 imetangulia! au... 🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️
nani atakuwa wa kwanza kufa kwenye familia yenu hili laweza kuwa swali gumu...

Kikawaida anatakiwa Atangulie kufa Baba, kisha afuate Mama, kisha watoto wa kwanza wakiume, inatarajiwa watoto wa kike wawe wa mwisho kufa.

ikiwa kwenu tayari katangulia wa kwanza kufa basi kwa mada hii atakayefuata anafahamika.
 
Hii ni dalili ya kuishiwa madini[emoji1787][emoji1787]

Tangu nikufahamu taikoni wa fasihi humu JF leo umetoa boko kiwango cha sgr.

NB: sio lazima upost kila siku, jipe muda wa likizo kidogo ufanye utafiti mzuri utuletee madini matupu na sio kutuletea ramli kurupushi kama hii ya leo[emoji847][emoji847]
 
Back
Top Bottom