Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
NANI ATAKUWA WA KWANZA KUFA KWENYE FAMILIA YENU NA ATAKAYEFUATIA?
Anaandika, Robert Heriel
Yule Mtibeli.
Andiko hili linaweza kuwa nadharia tuu, inaweza kuwa kweli au kuukaribia ukweli.
Taikon aliandika andiko hili miaka ya nyuma kidogo na hivi leo nitagusia machache.
Nani atakuwa wa kwanza kufa kwenye familia yenu hili laweza kuwa swali gumu, lakini atakayefuata kufa baada ya kifo cha wakwanza linaweza likawa swali rahisi.
1. Ikiwa mzaliwa wa kwanza wakike atatangulia kufa, basi atakayemfuatia kufa atakuwa Baba. uwezekano huu ni mkubwa sana.
2. Ikiwa mzaliwa wa kwanza wa kiume atatangulia kufa, basi atakayefuatia kufa atakuwa Mama
3. Ikiwa Mama atatangulia kufa, basi upo uwezekano mkubwa wa atakayefuatia ni Baba kisha mtoto wa mwisho atafuatia ingawaje ni kama nadra.
4. Ikiwa Baba atatangulia kufa, basi atafuatia mtoto au watoto kadhaa ndipo afe Mama.
5. Ikiwa mtoto wa katikati atakufa basi itachukua miaka mingi mtu wa pili kufa atakayemfuata na mara nyingi huwa ni Baba.
6. Ikiwa mtoto wa mwisho atatangulia kufa, Basi kuna uwezekano mkubwa atakayefuatia.
7. Ikiwa mtoto wa pili kati ya wengi atatangulia kufa baada ya Baba kufariki, basi upo uwezekano akafuatia mama, kisha mtoto wa tatu, Inatarajiwa watoto wa kiume wa hii familia mmoja wapo akawa wa mwisho na ndiye atafunga dimba
Kikawaida anatakiwa Atangulie kufa Baba, kisha afuate Mama, kisha watoto wa kwanza wakiume, inatarajiwa watoto wa kike wawe wa mwisho kufa.
ikiwa kwenu tayari katangulia wa kwanza kufa basi kwa mada hii atakayefuata anafahamika.
karibuni
Anaandika, Robert Heriel
Yule Mtibeli.
Andiko hili linaweza kuwa nadharia tuu, inaweza kuwa kweli au kuukaribia ukweli.
Taikon aliandika andiko hili miaka ya nyuma kidogo na hivi leo nitagusia machache.
Nani atakuwa wa kwanza kufa kwenye familia yenu hili laweza kuwa swali gumu, lakini atakayefuata kufa baada ya kifo cha wakwanza linaweza likawa swali rahisi.
1. Ikiwa mzaliwa wa kwanza wakike atatangulia kufa, basi atakayemfuatia kufa atakuwa Baba. uwezekano huu ni mkubwa sana.
2. Ikiwa mzaliwa wa kwanza wa kiume atatangulia kufa, basi atakayefuatia kufa atakuwa Mama
3. Ikiwa Mama atatangulia kufa, basi upo uwezekano mkubwa wa atakayefuatia ni Baba kisha mtoto wa mwisho atafuatia ingawaje ni kama nadra.
4. Ikiwa Baba atatangulia kufa, basi atafuatia mtoto au watoto kadhaa ndipo afe Mama.
5. Ikiwa mtoto wa katikati atakufa basi itachukua miaka mingi mtu wa pili kufa atakayemfuata na mara nyingi huwa ni Baba.
6. Ikiwa mtoto wa mwisho atatangulia kufa, Basi kuna uwezekano mkubwa atakayefuatia.
7. Ikiwa mtoto wa pili kati ya wengi atatangulia kufa baada ya Baba kufariki, basi upo uwezekano akafuatia mama, kisha mtoto wa tatu, Inatarajiwa watoto wa kiume wa hii familia mmoja wapo akawa wa mwisho na ndiye atafunga dimba
Kikawaida anatakiwa Atangulie kufa Baba, kisha afuate Mama, kisha watoto wa kwanza wakiume, inatarajiwa watoto wa kike wawe wa mwisho kufa.
ikiwa kwenu tayari katangulia wa kwanza kufa basi kwa mada hii atakayefuata anafahamika.
karibuni