Nani hasa ana utajiri mkubwa kati ya Joseph Kusaga DSM na Vicent Laswai Moshi? Nani Fogo

Ila vijiweni huwa kunafurahisha.

Nahisi ingeleta mantiki na hamasa zaidi mngeanza kulinganisha uwezo wenu binafsi nyie wana kijiwe kabla kwenda kwa kina Kusaga.
 

Mzigo wa laswai upande wa hotel tuu ndio mzigo wa kusaga wote.huyo laswai ni motovwa kuotea mbali kwanza ni mkongwe biashara kaanza siku nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…