Nani hasa ana utajiri mkubwa kati ya Joseph Kusaga DSM na Vicent Laswai Moshi? Nani Fogo

Nani hasa ana utajiri mkubwa kati ya Joseph Kusaga DSM na Vicent Laswai Moshi? Nani Fogo

Imenibidi nilete ubishani huu huku jukwaani kwani hii inaweza kuwafanya vijana wafanye kazi na kujituma na kuweza kujipatia Fedha nyingi nao wakatambulika na kuheshimika kama watu Hawa.

Tulikuwa tumekaa kijiwe kimoja na moja ya wadau wa tasnia mbalimbali za entertainment na ukazuka ubishi juu ya uwezo wa Fedha (utajiri) kati ya watu wawili ambao sote tunajua Wana uwezo wa kifedha japokuwa mmoja yupo na biashara zake dar es salaam mwingine yupo na biashara zake Arusha na Kilimanjaro.

Kulikuwa na mjadala wa muda mrefu kuwa kati ya tajiri Joseph Kusaga na Tajiri Vicent Laswai nani ana mkwanja mrefu kuliko mwenzake.

Joseph Kusaga ni Bilionea anaemiliki biashara hizi
1. Clouds media Group, Wasafi Tv , wasafi radio, diamond karanga, diamond pafyumu, etc
Na Vicent Laswai ni yeye ni mwenyekiti wa Kibo group limited, ambaye anaemiliki kibo palce hotels in Arusha na Kilimanjaro, lakini pia anaemiliki maduka ya Kuibadilisha Fedha, na pia ni mfanyabiashara kama agent Kwa Kanda ya kaskazini.

Sisi machalii wa A town mtu mwenye mawe mengi tunamuita Fogo, Sasa kati ya Joseph Kusaga na Vicent Laswai nani Fogo zaidi.

Nani hapa ana mapene mengi.


View attachment 2661471View attachment 2661473View attachment 2661474View attachment 2661475
Ungetuuliza nani kati yao anauza Dawa za Kulevya na nani ni Mdhulumati tungekujibu bila Wasiwasi Mkuu.
 
Kifupi huu mjadala kusaga hawezi shinda hata iweje
Unamshindaje Laswai mbele ya wachaga na Arusha gang walioko mtandaoni yani unabishana nao vipi hadi ushinde!?
Anyway mi nasema Hawa wote ni matajiri wakubwa na mshindi kati Yao hayupo.
Mi nilichoona tofauti ni mtu akiwa tajiri Dar anajulikana TZ nzima ila ukiwa tajiri mkoani unaishia kujulikana mkoa husika na labda mikoa jirani
 
B
Brother Vicente yuko njema sana

Sema hii mchongo pesa inamtajirisha sana big Joe yaani anapiga bila presha. Unajua pesa aliyoingiza big Joe kuanzia mwezi wa Tano ni hataree

Big Joe ni fogo
Big joe kwa level yke laswai ni mkubwa sana,kwa asset alizo nazo,dar,nairobi,arusha,moshi...big joe ni ndogo sana
 
Imenibidi nilete ubishani huu huku jukwaani kwani hii inaweza kuwafanya vijana wafanye kazi na kujituma na kuweza kujipatia Fedha nyingi nao wakatambulika na kuheshimika kama watu Hawa.

Tulikuwa tumekaa kijiwe kimoja na moja ya wadau wa tasnia mbalimbali za entertainment na ukazuka ubishi juu ya uwezo wa Fedha (utajiri) kati ya watu wawili ambao sote tunajua Wana uwezo wa kifedha japokuwa mmoja yupo na biashara zake dar es salaam mwingine yupo na biashara zake Arusha na Kilimanjaro.

Kulikuwa na mjadala wa muda mrefu kuwa kati ya tajiri Joseph Kusaga na Tajiri Vicent Laswai nani ana mkwanja mrefu kuliko mwenzake.

Joseph Kusaga ni Bilionea anaemiliki biashara hizi
1. Clouds media Group, Wasafi Tv , wasafi radio, diamond karanga, diamond pafyumu, etc
Na Vicent Laswai ni yeye ni mwenyekiti wa Kibo group limited, ambaye anaemiliki kibo palce hotels in Arusha na Kilimanjaro, lakini pia anaemiliki maduka ya Kuibadilisha Fedha, na pia ni mfanyabiashara kama agent Kwa Kanda ya kaskazini.

Sisi machalii wa A town mtu mwenye mawe mengi tunamuita Fogo, Sasa kati ya Joseph Kusaga na Vicent Laswai nani Fogo zaidi.

Nani hapa ana mapene mengi.


View attachment 2661471View attachment 2661473View attachment 2661474View attachment 2661475
Acha kuwalinganisha wachaga na wasukuma kwenye biashara na pesa
 
Back
Top Bottom