ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
- Thread starter
- #61
Kuna kuzaraulianaMambo yao waachie wenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kuzaraulianaMambo yao waachie wenyewe...
Hivi ile Kampeni ya Kupambana na Biashara za Dawa za Kulevya nchini Tanzania imeishia wapi?Kusaga hakuna wa kumfikia , ni tajiri kama Mbunge Joseph msukuma
Ungetuuliza nani kati yao anauza Dawa za Kulevya na nani ni Mdhulumati tungekujibu bila Wasiwasi Mkuu.Imenibidi nilete ubishani huu huku jukwaani kwani hii inaweza kuwafanya vijana wafanye kazi na kujituma na kuweza kujipatia Fedha nyingi nao wakatambulika na kuheshimika kama watu Hawa.
Tulikuwa tumekaa kijiwe kimoja na moja ya wadau wa tasnia mbalimbali za entertainment na ukazuka ubishi juu ya uwezo wa Fedha (utajiri) kati ya watu wawili ambao sote tunajua Wana uwezo wa kifedha japokuwa mmoja yupo na biashara zake dar es salaam mwingine yupo na biashara zake Arusha na Kilimanjaro.
Kulikuwa na mjadala wa muda mrefu kuwa kati ya tajiri Joseph Kusaga na Tajiri Vicent Laswai nani ana mkwanja mrefu kuliko mwenzake.
Joseph Kusaga ni Bilionea anaemiliki biashara hizi
1. Clouds media Group, Wasafi Tv , wasafi radio, diamond karanga, diamond pafyumu, etc
Na Vicent Laswai ni yeye ni mwenyekiti wa Kibo group limited, ambaye anaemiliki kibo palce hotels in Arusha na Kilimanjaro, lakini pia anaemiliki maduka ya Kuibadilisha Fedha, na pia ni mfanyabiashara kama agent Kwa Kanda ya kaskazini.
Sisi machalii wa A town mtu mwenye mawe mengi tunamuita Fogo, Sasa kati ya Joseph Kusaga na Vicent Laswai nani Fogo zaidi.
Nani hapa ana mapene mengi.
View attachment 2661471View attachment 2661473View attachment 2661474View attachment 2661475
Gentamycine buanaUngetuuliza nani kati yao anauza Dawa za Kulevya na nani ni Mdhulumati tungekujibu bila Wasiwasi Mkuu.
Kumbeee...karibuPrayer Breakfast 😊😊😊
Dodoma
Comment ya kufungia mwakaKifupi huu mjadala kusaga hawezi shinda hata iweje
Unamshindaje Laswai mbele ya wachaga na Arusha gang walioko mtandaoni yani unabishana nao vipi hadi ushinde!?
Anyway mi nasema Hawa wote ni matajiri wakubwa na mshindi kati Yao hayupo.
Ila mangi atakuwa kazidi utapeliMatapeli wote hao
Mkuu acha kubisha vitu usivyovijua, nenda brela utaona wamiliki na % za shea zao, mke wa kusaga ndio anaongoza kwa shea nyingi wasafiWasafi media ya kusaga Toka lini? Kama hujui mwenyewe si uulize tukwambie
Mi nilichoona tofauti ni mtu akiwa tajiri Dar anajulikana TZ nzima ila ukiwa tajiri mkoani unaishia kujulikana mkoa husika na labda mikoa jiraniKifupi huu mjadala kusaga hawezi shinda hata iweje
Unamshindaje Laswai mbele ya wachaga na Arusha gang walioko mtandaoni yani unabishana nao vipi hadi ushinde!?
Anyway mi nasema Hawa wote ni matajiri wakubwa na mshindi kati Yao hayupo.
Nyie watu nyie...Mzigo wa laswai upande wa hotel tuu ndio mzigo wa kusaga wote.huyo laswai ni motovwa kuotea mbali kwanza ni mkongwe biashara kaanza siku nyingi
Hamiliki tatu mzuka anamiliki mchongo pesaKusaga ni tajiri , na kamali ya tatu mzuka ndo imemtajirisha
Inategemea na nature ya utajiri wako japo ulichosema kina ukweli 80% Kishimba anajulikana tz hata kina DialoMi nilichoona tofauti ni mtu akiwa tajiri Dar anajulikana TZ nzima ila ukiwa tajiri mkoni unaishia kujulikana mkoa husika na labda mikoa jirani
Big joe kwa level yke laswai ni mkubwa sana,kwa asset alizo nazo,dar,nairobi,arusha,moshi...big joe ni ndogo sanaB
Brother Vicente yuko njema sana
Sema hii mchongo pesa inamtajirisha sana big Joe yaani anapiga bila presha. Unajua pesa aliyoingiza big Joe kuanzia mwezi wa Tano ni hataree
Big Joe ni fogo
Ndio ya kusaga hiyo wasafi kama hujuiWasafi media ya kusaga Toka lini? Kama hujui mwenyewe si uulize tukwambie
upo sahihi mkuu 100%Kusaga ni bilionea? Kwa biashara zipi? Clouds ni biashara ya familia, sio yake personally. Diamond karanga na perfume zilishakufa siku nyingi. Hiyo Wasafi Media nayo ni joint venture.
Acha kuwalinganisha wachaga na wasukuma kwenye biashara na pesaImenibidi nilete ubishani huu huku jukwaani kwani hii inaweza kuwafanya vijana wafanye kazi na kujituma na kuweza kujipatia Fedha nyingi nao wakatambulika na kuheshimika kama watu Hawa.
Tulikuwa tumekaa kijiwe kimoja na moja ya wadau wa tasnia mbalimbali za entertainment na ukazuka ubishi juu ya uwezo wa Fedha (utajiri) kati ya watu wawili ambao sote tunajua Wana uwezo wa kifedha japokuwa mmoja yupo na biashara zake dar es salaam mwingine yupo na biashara zake Arusha na Kilimanjaro.
Kulikuwa na mjadala wa muda mrefu kuwa kati ya tajiri Joseph Kusaga na Tajiri Vicent Laswai nani ana mkwanja mrefu kuliko mwenzake.
Joseph Kusaga ni Bilionea anaemiliki biashara hizi
1. Clouds media Group, Wasafi Tv , wasafi radio, diamond karanga, diamond pafyumu, etc
Na Vicent Laswai ni yeye ni mwenyekiti wa Kibo group limited, ambaye anaemiliki kibo palce hotels in Arusha na Kilimanjaro, lakini pia anaemiliki maduka ya Kuibadilisha Fedha, na pia ni mfanyabiashara kama agent Kwa Kanda ya kaskazini.
Sisi machalii wa A town mtu mwenye mawe mengi tunamuita Fogo, Sasa kati ya Joseph Kusaga na Vicent Laswai nani Fogo zaidi.
Nani hapa ana mapene mengi.
View attachment 2661471View attachment 2661473View attachment 2661474View attachment 2661475