Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Wajomba zako walipo gundua anavuta bange, shisha anakula ugoro, kuberi anakunywa gongo ndipo waliamua wanigawie bure...😜🤣😂😂😂, Kama lizie mahari🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajomba zako walipo gundua anavuta bange, shisha anakula ugoro, kuberi anakunywa gongo ndipo waliamua wanigawie bure...😜🤣😂😂😂, Kama lizie mahari🤣😂
Hizi dharau😂🤣, ko maza una mtusi hivyo😂🤣🤣Wajomba zako walipo gundua anavuta bange, shisha anakula ugoro, kuberi anakunywa gongo ndipo waliamua wanigawie bure...😜
Siwezi kumtusi mama yako ambae ndio kipenzi cha moyo wangu...😊Hizi dharau😂🤣, ko maza una mtusi hivyo😂🤣🤣
EwaaaaaSiwezi kumtusi mama yako ambae ndio kipenzi cha moyo wangu...😊
Brother Vicente yuko njema sanaImenibidi nilete ubishani huu huku jukwaani kwani hii inaweza kuwafanya vijana wafanye kazi na kujituma na kuweza kujipatia Fedha nyingi nao wakatambulika na kuheshimika kama watu Hawa.
Tulikuwa tumekaa kijiwe kimoja na moja ya wadau wa tasnia mbalimbali za entertainment na ukazuka ubishi juu ya uwezo wa Fedha (utajiri) kati ya watu wawili ambao sote tunajua Wana uwezo wa kifedha japokuwa mmoja yupo na biashara zake dar es salaam mwingine yupo na biashara zake Arusha na Kilimanjaro.
Kulikuwa na mjadala wa muda mrefu kuwa kati ya tajiri Joseph Kusaga na Tajiri Vicent Laswai nani ana mkwanja mrefu kuliko mwenzake.
Joseph Kusaga ni Bilionea anaemiliki biashara hizi
1. Clouds media Group, Wasafi Tv , wasafi radio, diamond karanga, diamond pafyumu, etc
Na Vicent Laswai ni yeye ni mwenyekiti wa Kibo group limited, ambaye anaemiliki kibo palce hotels in Arusha na Kilimanjaro, lakini pia anaemiliki maduka ya Kuibadilisha Fedha, na pia ni mfanyabiashara kama agent Kwa Kanda ya kaskazini.
Sisi machalii wa A town mtu mwenye mawe mengi tunamuita Fogo, Sasa kati ya Joseph Kusaga na Vicent Laswai nani Fogo zaidi.
Nani hapa ana mapene mengi.
View attachment 2661471View attachment 2661473View attachment 2661474View attachment 2661475
Imenibidi nilete ubishani huu huku jukwaani kwani hii inaweza kuwafanya vijana wafanye kazi na kujituma na kuweza kujipatia Fedha nyingi nao wakatambulika na kuheshimika kama watu Hawa.
Tulikuwa tumekaa kijiwe kimoja na moja ya wadau wa tasnia mbalimbali za entertainment na ukazuka ubishi juu ya uwezo wa Fedha (utajiri) kati ya watu wawili ambao sote tunajua Wana uwezo wa kifedha japokuwa mmoja yupo na biashara zake dar es salaam mwingine yupo na biashara zake Arusha na Kilimanjaro.
Kulikuwa na mjadala wa muda mrefu kuwa kati ya tajiri Joseph Kusaga na Tajiri Vicent Laswai nani ana mkwanja mrefu kuliko mwenzake.
Joseph Kusaga ni Bilionea anaemiliki biashara hizi
1. Clouds media Group, Wasafi Tv , wasafi radio, diamond karanga, diamond pafyumu, etc
Na Vicent Laswai ni yeye ni mwenyekiti wa Kibo group limited, ambaye anaemiliki kibo palce hotels in Arusha na Kilimanjaro, lakini pia anaemiliki maduka ya Kuibadilisha Fedha, na pia ni mfanyabiashara kama agent Kwa Kanda ya kaskazini.
Sisi machalii wa A town mtu mwenye mawe mengi tunamuita Fogo, Sasa kati ya Joseph Kusaga na Vicent Laswai nani Fogo zaidi.
Nani hapa ana mapene mengi.
View attachment 2661471View attachment 2661473View attachment 2661474View attachment 2661475
Yeye ndo mmiliki wa tatu mzuka?Kusaga ni tajiri , na kamali ya tatu mzuka ndo imemtajirisha
Nimeshangaa ume comments tu hivyo Laswai kani PM.. 😅😅😅Shemeji National Anthem mbona umeshangaa?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 mkienda kula bata unishtue..Nimeshangaa ume comments tu hivyo Laswai kani PM.. 😅😅😅
Prayer Breakfast 😊😊😊🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 mkienda kula bata unishtue..