Nani hasa ana utajiri mkubwa kati ya Joseph Kusaga DSM na Vicent Laswai Moshi? Nani Fogo

B Brother Vicente yuko njema sana

Sema hii mchongo pesa inamtajirisha sana big Joe yaani anapiga bila presha. Unajua pesa aliyoingiza big Joe kuanzia mwezi wa Tano ni hataree

Big Joe ni fogo
 
Vicente laswai ni mkurungenzi kibo group of companies inayomiliki kibo palace Arusha, kibo palace moshi,kibo apartments arusha,Kilimanjaro luxury homes moshi,Agent wa consumers goods kutoka Kenya na agent wa sukari kwa mikoa ya kaskazini!!kusaga hawezi kumfikia hata kwambali.
 

Aliekwambia kusaga ana own wasafi media ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…