mtu tangia azaliwe na tangia aanze utumishi wa uma au mtu kwa miaka zaidi ya arobaini hajawahi amini katika uadilifu yaani amekuwa jizi fulani tu halafu eti akishazeeka ndo abadilike awe muadilifu, subutuuuuuuu. mwizi ataendelea kuwa mwizi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi ulisikia shetani wa ukweli anakuwa malaika? ukiona hivyo huyo hakuwa shetani alikuwa msanii tu
Wanabodi,
Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani.
Kwa wasomaji wapya katika kukumbushana tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alikuwa malaika Mkuu! .
Kwenye himaya ya mashetani shetani hayuko peke yake, yuko na wale malaika wengine waliojiunga nae ambao sasa wote ni mashetani wengine walioamua kujiunga nae!.
Katika la jeshi la malaika wa mbinguni from time to kuna baadhi ya malaika huwa wana defect na kumfuata shetani na hivyo hugeuka mashetani.
Vivyo hivyo kwenye jeshi la shetani kuna mashetani huwa wanatubu na kumrudia Mungu hivyo hurejea na kuwa malaika. Hawa sasa ni harmless kwa sababu ushetani wao wote wanakuwa wameuacha kule ushetanini!.
Lakini inapotokea malaika akaamua kufanya kazi ya shetani huku amepose kama malaika!, huyu ni hatari kuliko hata shetani mwenyewe!, maana you can't tell!. Watu wa Mungu watamsikiliza wakidhani ni malaika kumbe nje na ngozi tuu ndio ya malaika lakini ndani ni ibilisi mwovu shetani wahedi! .
Swali ni jee?, nani ni hatari zaidi kati ya shetani aliyetubu na kugeuka malaika au malaika aliyegeuka shetani kwa kufanya kazi ya shetani huku akiendelea kupose as malaika?!.
Tafakari na chukua hatua.
Nawatakia Jumatano njema.
Pasco
Inaleta maana. Tahadhari nzuri.
But: Even a devil was an angel.
In that sense, an angel can change into a devil.
Then, the question is: if a devil was once an angel, can a devil become an angel again at some point...?
Hili swali japo ni la zamani lakini bado liko very valid.Wanabodi,
Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani.
Kwa wasomaji wapya katika kukumbushana tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alikuwa malaika Mkuu! .
Kwenye himaya ya mashetani shetani hayuko peke yake, yuko na wale malaika wengine waliojiunga nae ambao sasa wote ni mashetani wengine walioamua kujiunga nae!.
Katika la jeshi la malaika wa mbinguni from time to kuna baadhi ya malaika huwa wana defect na kumfuata shetani na hivyo hugeuka mashetani.
Vivyo hivyo kwenye jeshi la shetani kuna mashetani huwa wanatubu na kumrudia Mungu hivyo hurejea na kuwa malaika. Hawa sasa ni harmless kwa sababu ushetani wao wote wanakuwa wameuacha kule ushetanini!.
Lakini inapotokea malaika akaamua kufanya kazi ya shetani huku amepose kama malaika!, huyu ni hatari kuliko hata shetani mwenyewe!, maana you can't tell!. Watu wa Mungu watamsikiliza wakidhani ni malaika kumbe nje na ngozi tuu ndio ya malaika lakini ndani ni ibilisi mwovu shetani wahedi! .
Swali ni jee?, nani ni hatari zaidi kati ya shetani aliyetubu na kugeuka malaika au malaika aliyegeuka shetani kwa kufanya kazi ya shetani huku akiendelea kupose as malaika?!.
Tafakari na chukua hatua.
Nawatakia Jumatano njema.
Pascal
Mkuu Dudus, natafakari tuu japo ni kweli haijawahi kuandikwa shetani kugeuka malaika, mtu yoyote aliyetenda mambo ya kishetani kama kuiba jina, kufoji vyeti!, kughushi halafu akafanikiwa na sasa kumrudia Mungu na kutenda mema ni sawa na shetani kugeuka malaika.Mkuu hii mada yako inachanganya. Malaika kugeuka Shetani ni hatari kwani hakuna asiyejua habari za Shetani na mambo yake. Tatizo ni hilo la pili la Shetani kugeuka Malaika; hili ni gumu kulijadili kwa sababu hatuna japo mfano mmoja. Malaika alishawahi kugeuka Shetani ndio maana leo tunazungumzia habari za Lusifa na mashetani wenzake.
Kwa upande mwingine, haijawahi kusikika au kuandikwa popote Shetani kugeuka Malaika - haipo. Hivyo, sina budi kusema kwamba mfono wako ni irrelevant na Shetani ataendelea kubaki Shetani milele yote.
Mkuu Mtazamo mfano uko valid kwa matendo mabayavya Daudi Bashite na mema ya Paul Makonda.Hii hadithi tu....Shetani na Malaika zake walishahukumiwa na hawana nafasi tena ya kutubu.....tafuta mfano unaokwenda na ukweli ....
Tetty hapo kwenye Sauli weka Daudi.Pasco,hata Mtakatifu Paulo alikuwa muuaji wa wakristu akiitwa SAULI,hivyo vyote vya wezekana kwa Mungu.Ila badala ya hii ya Shetani na Malaika.bora ungeiweka hii ya SAULI kuwa PAULI.
Pole Mungu ndiye ahukumuye kwa HAKI.
Kwa sasa nikipiga akili MASWALI ni mengi kuliko majibu.
Shetani ni bimadamu anayemtumikia shetani na Malaika ni bimadamu anayemtumikia Mungu.Absolutely! This is relevant example. Binadamu hutubu na kugeuka sio Shetani. By the way, sijui kwa mfano wa Pasco Shetani ni nani na Malaika ni nani? Binadamu ni binadamu sio Shetani wala Malaika. Upotoshaji wowote ni lazima ukemewe kwa nguvu zote na kwa wakati.
Mfano wa Shetan kujeuka Malaika,tunaipata kwenye kisa cha Sauli kwenye Biblia alie kuwa akiwaua watu wa Mungu,lkn cku 1 akiwa anaenda Dameski kutekeleza mauaji ya wakristo,ghafla njian alikutana na Mwanga mkali na Yesu akamwambia "Sauli Sauli Sauli Mbona waniudhi?
Vivyo ndivyo ilivyo kwa Daudi na Paulo.Kuanzia wakati huo Sauli alibadilika na akaacha ushetani wake na kuwa mcha Mungu akiwa anajilikana kwa jina la Paul, kiasi cha kifanya kazi ya Mungu kwa kiasi kikubwa kuliko hata mitume walio ishi na Yesu.
ni kweli ila watu wa shetani ndio wanatubu na kuwa watu wa Mungu.Eti umesema kuna mashetani wanatubu kwa Mungu alafu wanakua malaika tena???? Heheheh haitakaa ikatokea milele
Hii ni kweli ila watu wao ndio wanatubu na kumrudia Mungu kwa kutenda mema.Shetani akigeuka Malaika hakuwahi kuwa shetani huyo na malaika akigeuka kuwa shetani naye hakuwahi kuwa malaika! Malaika hawezi kuwa shetani na kinyume chake ni kweli vile vile. MMM
Ndugu yangu Pasikali (kwa sauti ya Mheshimiwa Raisi), Sasa unataka kuhalalisha UZURI wa shetani aliyebadilika kuwa malaika? Sawa.Tuseme tumekubaliana na hoja yako. Swali: Kwa mantiki hiyo unadhani zoezi la KUHAKIKI vyeti ni halali? Maana, chukulia kwa mfano, Rebeka Mafumu (jina la bandia- kama yupo wa kweli sikukusudia kumtaja kama mfano), alifeli kidato cha Nne. Akachukua cheti cha Kabula Kumalija (jina la bandia tena), akawa Nesi. Je, anakuwa Malaika (aliyetoka ushetanini) ndani ya Jina jipya? Je, uhakiki unaoendelea (ambao wengi tunausifu na kuushangilia) uachwe kisa Mashetani WAMEBADILIKA kuwa MALAIKA ndani ya majina mapya (ya kununua)? Hoja yangu ni hiyo ndugu yangu na rafiki yangu Pasikali....Mkuu Mtazamo mfano uko valid kwa matendo mabayavya Daudi Bashite na mema ya Paul Makonda.
Paskali