Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Mheshimiwa Rais Samia, kama unapitia humu kusoma ni jambo jema. Lakini kama husomi na wasaidizi wako wana nia njema watakuletea hili swali.
Wewe kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania jee hawa wanao mtendea hivi Mtanzania mpiga kura wako na mlipa kodi ni askari wako?
Hii ni aibu kubwa sana kwa askari polisi wanaopaswa kulinda amani kufanya matendo ya aina hii kata kama huyo ni mhalifu.
Wao watakuwa na tofauti gani na vibaka na majambazi ya mjini? Kwani mbona wao wana access ya kumpeleka mahakamani mtuhumiwa kwa urahisi zaidi?
Tuliona maafisa wa uhamiaji wakichukuliwa hatua kwa matendo ya udhalilishaji hivyo tunategemea hawa wauaji wakichukuliwa hatua kali zaidi.
Hata IGP Sirro kama naye ataendelea kufumbia macho tabia hizi muwajibishe maana asikufikirie wewe ni kama yule aliyekuwa anahamasisha unyanyasaji
i
Wewe kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania jee hawa wanao mtendea hivi Mtanzania mpiga kura wako na mlipa kodi ni askari wako?
Hii ni aibu kubwa sana kwa askari polisi wanaopaswa kulinda amani kufanya matendo ya aina hii kata kama huyo ni mhalifu.
Wao watakuwa na tofauti gani na vibaka na majambazi ya mjini? Kwani mbona wao wana access ya kumpeleka mahakamani mtuhumiwa kwa urahisi zaidi?
Tuliona maafisa wa uhamiaji wakichukuliwa hatua kwa matendo ya udhalilishaji hivyo tunategemea hawa wauaji wakichukuliwa hatua kali zaidi.
Hata IGP Sirro kama naye ataendelea kufumbia macho tabia hizi muwajibishe maana asikufikirie wewe ni kama yule aliyekuwa anahamasisha unyanyasaji
i