Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
Kufa kibabeMimi MTU hawezi kunipiga hivyo ,over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa kibabeMimi MTU hawezi kunipiga hivyo ,over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
Hata mimi inanifanyia hivyo hivyo.Ukifungulia simu yenye app inagoma inakurudisha kwenye app labda ufungulie device nyingine
Bwana DawDaughter Reminder.Siwezi kuofungua hapa hiyo video lkn niliigumia kwa mwana chadema mmoja huko insta...inaonekana kama mtu wa mitandaoni huyo?
Extrovert:Mikwaju interchange😅😅😅 unaweza kuta chalii ni mwizi sema kaingia cha kike! Ponjoro kavuta waya Central
Heheheheh utajua hujuiExtrovert:
Kuna muda unatamani ni bora ukutane na simba ila si mwanadamu mwenzako 😂😂😂au umedakwa na cadet 😂😂
😂😂😂😂 namuombea mwamba atoke salama. Shetani bwana anakupa ushindi wa mapambano wakati wa vita anakuacha ila kuna mtu anaona na kesho atafanyaHeheheheh utajua hujui
Sasa mbona unatukana tu, nyie ndio wa kutandika bakora namna hiyo.Hivi watu wengine mna hisia kweli? Ulitaka afanyeje ndiyo ujue anaumia? Hivi anavyoteseka mpaka amebaki kudokoa macho tu unaweza kusema haumii? Stupid!
Kajifanya polisi mpelelezi kumbe kibaka huyo mwindi hapo pembeni ana record hao wanaopiga ndio boss alitaka kutapeliwa sasa hao jamaa ni vijana tuu wa nyunbani kwa boss hapo kuna fundi magari na house boy na huyo mwingine ni mpambe wa boss na derevaNi nani huyu anaepigwa hivi? Amekosa nini? Kwanini wenye kumpiga wanasema "atatuharibia kazi" kazi gani? Na ame' post neno "kimeumanaaa" wapi? Ndiyo kosa lake? Anaefahamu kisa hiki atusaidie, tufahamu. Namba za gari ni T 777 BWS.
Hii si ni kama huyu jamaa ametekwa na anachezea kipigo, What if angezimia au kufariki si angeokotwa Msituni au kwenye Kiroba baharini?
Tunaiomba mamlaka (Najua wengine wanatusoma humu) ifuatilie tukio hili, kwa kweli Tanzania kuna sehemu si salama.
View attachment 1849488
Huyo mwenye hilo gari ataeleza tu, haiwezekani mtu apigwe kuliko mbwa? Sheria si zipo! Why?!Hii picha akiiona Mama, kuna mtu hana ajira. na ni rahisi kuwatambua wote kwa sababu Namba ya gari iliyopark inasomeka vizuri
Kweli mkuu??Tumefika pabaya sana nchi hii
Kama ni hivyo basi waendelee kumfinya...Kajifanya polisi mpelelezi kumbe kibaka huyo mwindi hapo pembeni ana record hao wanaopiga ndio boss alitaka kutapeliwa sasa hao jamaa ni vijana tuu wa nyunbani kwa boss hapo kuna fundi magari na house boy na huyo mwingine ni mpambe wa boss na dereva
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia jf app ya zamani, futa na u upload app mpya na picha na video zitafunguka bila tabu.@Moderator hili tatizo la muda mrefu sasa, attachment hazifunguki kwa anayetumia app. Liwekeni sawa hili
Nyie mnaojidai sheria, natamani siku moja mkutane na hawa matapeli ndo mtaelewa.Kwa vyovyote vile na kwa namna yoyote ile. Sheria zipo na mtu kama amekosea apelekwa sehemu inayostahili afungwe hata maisha kama ndivyo sheria ilivyo. Nadhani wengi hamjui madhara ya matendo ya vyombo vya sheria kufanya ukatili wa namna hii, no matter what he has done!
Dot imeunganika so wajiandae kukamatwaHuyo mwenye hilo gari ataeleza tu, haiwezekani mtu apigwe kuliko mbwa? Sheria si zipo! Why?!
Upi mtazamo wako juu ya hilo mkuuKweli mkuu??
Tanzania bado kuna amani ya kutosha.Upi mtazamo wako juu ya hilo mkuu
Au gabachori ni mwenzao (wapigaji)??Kwenye hiyo clip kuna ngozi nyeupe inarandaranda na simu, tumeuliza kama hao wapigaji ni wasiojulikana, wanahusiana vipi na huyo cheupe?