muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kama ni hao jamaa ngoja apate haki yake pambavu.Ofcourse ndiye kesi itakuwa ya hivyo hivyo sindio maana anaruka kimango anataka apigiwe simu mwengine ambaye ndio aliyetuma sms ya kiduanzi. Wameanza kumcharaza yeye kwanza
Ndio maana jamaa kasema wanakera sana na mchezo wao wa kitoto!