Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Labda ametokea chama chekunduHii picha akiiona Mama, kuna mtu hana ajira. na ni rahisi kuwatambua wote kwa sababu Namba ya gari iliyopark inasomeka vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ametokea chama chekunduHii picha akiiona Mama, kuna mtu hana ajira. na ni rahisi kuwatambua wote kwa sababu Namba ya gari iliyopark inasomeka vizuri
Matukio haya yalikithiri kipindi cha Magu.Taratibu tutafika kwenye zama zetu za “Unanijua mie ni nani wewe?” Inapigwa simu moja tu unalundikwa ndani [emoji23][emoji23][emoji23] wacha wananchi waipate ile power ya pesa chafu!
Usalama wetu upo mashakani, hiyo meseji ya kimeumana alipost wapi? Au humu jukwaani kuna mtu amevujisha utambulisho wa mdauLogin jf kwa kutumia chrome broswer unaperuzi safi na pia inafungua picha bila tabu!
@Moderator hili tatizo la muda mrefu sasa, attachment hazifunguki kwa anayetumia app. Liwekeni sawa hiliMods kwa nini siwezi kufungua videos na ni kwa muda sasa
Nahitaji msaada wa haraka sana.
Ingilia kwenye browser itafungukaMods kwa nini siwezi kufungua videos na ni kwa muda sasa
Nahitaji msaada wa haraka sana.
Tumia Google chrome mkuuMods kwa nini siwezi kufungua videos na ni kwa muda sasa
Nahitaji msaada wa haraka sana.
Mimi nilishaifuta siku nyingi sana hyo App.Sijawahi kudownload APP ya JF zaidi ya kutumia browser search Tu..
Sioni sababu ya kubebesha mzigo Mkubwa na kupunguza space ya simu Kwa kujaza app
Amelipia huduma??? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mmoja hapo kama mdosi hivi anatalii talii hapo na simu, labda ni gabachori amelipia huduma
Cc RRONDONchi imeshafunguliwa namna hiyo nadhani sasa Kila mtu anafurahia matunda.
Kwani gabachori wanajali!?Amelipia huduma??? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kapost nini huyo??Kwani gabachori wanajali!?
Mimi namng'ata mtu shingoni. Bora nipewe murder case.Mimi MTU hawezi kunipiga hivyo ,over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
Hapo ni do or die. Nguvu ya kukimbia kaipata wapi akose ya kumrukia mtu shingoni?Nguvu iyo utaitoa wapi?
Kwenye hiyo clip kuna ngozi nyeupe inarandaranda na simu, tumeuliza kama hao wapigaji ni wasiojulikana, wanahusiana vipi na huyo cheupe?Kapost nini huyo??
Sikio? Nga'ata jugura vein na ng'angania wakuulie hapo. Kama hujui jugula vein ninini googleMimi MTU hawezi kunipiga hivyo ,over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
Kama ni wao achezee kichapo tuOfcourse ndiye kesi itakuwa ya hivyo hivyo sindio maana anaruka kimango anataka apigiwe simu mwengine ambaye ndio aliyetuma sms ya kiduanzi. Wameanza kumcharaza yeye kwanza
Ndio maana jamaa kasema wanakera sana na mchezo wao wa kitoto!
Huwezi mkuu,unapigwa moja ya chembe unazimika mazima.Unakubalije kupigwa na raia wenzako kiboya hivyo, mimi kingeumana bora waniue lakini sio kukubali napigwa hivyo, tena watu wenyewe wachache hivyo.