Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Dalili za interhamwe waliofunzwa, legacy ya mwendazake.Tumefika pabaya sana nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili za interhamwe waliofunzwa, legacy ya mwendazake.Tumefika pabaya sana nchi hii
Hawa wahuni watafutwe popote walipo na haki ikatendekee mahakamani.Ni nani huyu anaepigwa hivi? Amekosa nini? Kwanini wenye kumpiga wanasema "atatuharibia kazi" kazi gani? Na ame' post neno "kimeumanaaa" wapi? Ndiyo kosa lake? Anaefahamu kisa hiki atusaidie, tufahamu. Namba za gari ni T 777 BWS.
View attachment 1849488
Mungu anapiga maluwe luwe ili uovu ujulikane. Huu ni unyama wa kutisha. Nimeangalia mpaka mwili umesisimuka. Binadamu anakuwa katili namna hii? Hivi tuna serikali au tuna mashetani?Hii issue ya kujichukulia sheria mkononi inazidi kukua siku baada ya siku,tena siku hizi wanarekodi kabisa! Hua nashindwa kuelewa kabisa lengo la kurekodi hua ni lipi hasa?
Hivi watu wengine mna hisia kweli? Ulitaka afanyeje ndiyo ujue anaumia? Hivi anavyoteseka mpaka amebaki kudokoa macho tu unaweza kusema haumii? Stupid!Ila jamaa wanajua kutandika fimbo
Kalio la jamaa wamelitandika haswaaa
Huyo jamaa nae kiboko haoneshi kama zimemwingia kabisa au sababu ya jeans
Hutapewa murder case kwa sababu utakuwa umeshakufa. Jaribu kusoma maandishi ukutani. Hao makatili wanaopiga mtu namna hiyo umguse mmoja utapona? Si watakukata kiungo kimoja kimoja mpaka ufe?Mimi namng'ata mtu shingoni. Bora nipewe murder case.
Binadamu yoyote mwenye aliyekamilika akiangalia ni lazima siku yake itaharibika. Nashangaa wengine wanapata wapi uwezo wa kuweka emoji za kucheka au kuandika utani wa kijinga kabisa.Video imeniharibia siku yangu yote
Kwa vyovyote vile na kwa namna yoyote ile. Sheria zipo na mtu kama amekosea apelekwa sehemu inayostahili afungwe hata maisha kama ndivyo sheria ilivyo. Nadhani wengi hamjui madhara ya matendo ya vyombo vya sheria kufanya ukatili wa namna hii, no matter what he has done!Ofcourse ndiye kesi itakuwa ya hivyo hivyo sindio maana anaruka kimango anataka apigiwe simu mwengine ambaye ndio aliyetuma sms ya kiduanzi. Wameanza kumcharaza yeye kwanza
Ndio maana jamaa kasema wanakera sana na mchezo wao wa kitoto!
Take it easy manHivi watu wengine mna hisia kweli? Ulitaka afanyeje ndiyo ujue anaumia? Hivi anavyoteseka mpaka amebaki kudokoa macho tu unaweza kusema haumii? Stupid!
Hata kupigwa kifichoni siyo kitendo kizuri. Pia hata mtoto mdogo siyo vizuri.Mtu mzima kupigwa hadharani namna hiyo ni kitendo kibaya sana
I cannot take it easy when i am dealing with comment like that. How can you be so blank to recognize the suffering of the victim in the situation like that.Take it easy man
Unawezaje kutukana tu mtu ambaye hamjawahi kuonana na hamjuani
Mtu anacomment upande wake mwingine anavyoona wewe unatukana
Hope wahusika wataiona hiyo clip na hao jamaa watachukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria kama ilivyokua kwa wale wa mambo ya ndani walivyomtesa yule jamaa kipindi kile.Mungu anapiga maluwe luwe ili uovu ujulikane. Huu ni unyama wa kutisha. Nimeangalia mpaka mwili umesisimuka. Binadamu anakuwa katili namna hii? Hivi tuna serikali au tuna mashetani?
Ni nani huyu anaepigwa hivi? Amekosa nini? Kwanini wenye kumpiga wanasema "atatuharibia kazi" kazi gani? Na ame' post neno "kimeumanaaa" wapi? Ndiyo kosa lake? Anaefahamu kisa hiki atusaidie, tufahamu. Namba za gari ni T 777 BWS.
Hii si ni kama huyu jamaa ametekwa na anachezea kipigo, What if angezimia au kufariki si angeokotwa Msituni au kwenye Kiroba baharini?
Tunaiomba mamlaka (Najua wengine wanatusoma humu) ifuatilie tukio hili, kwa kweli Tanzania kuna sehemu si salama.
View attachment 1849488
kitendo cha kinyama hili wale ni police au watu ganiHata kupigwa kifichoni siyo kitendo kizuri. Pia hata mtoto mdogo siyo vizuri.
Kama amekwiba vya wenyewe akatiwa nguvuni basi asali zake tu😂😂😂Mikwaju interchange😅😅😅 unaweza kuta chalii ni mwizi sema kaingia cha kike! Ponjoro kavuta waya Central
ukweli au umbra 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we naweeee. sema wataka ubuyu tuJaribu kutuulizia hilo tukio lina husu nini,yaani tupate ukweli juu ya hilo tukio.
Watu wanajifanya wana mhurumia jamaaHao wachapaji wanaonekana ni watu kama askari hivi, wanamshughulikia muhalifu, wanajaribu kutoa onyo, hawa vibaka na matapeli wameumiza watu sana na wakienda sheriani kesho wako mtaani wakiumiza mamia ya watu wengine ,acha apate onyo hata akiachiwa akumbuke kuna onyo kabla ya sheria, tumekuwa walalamishi wa kila kitu,walainiii. Watu wakiiba tunalalamika, wakichapwa tunalalamika, kuna aina ya watu lugha wanayoilewa ni hiyo tu,tena wangemuongeza tena na tena. Mpaka aonyeshe wenzake wote! Mnata wahalifu walelewe na jamii, haiwezekani!!