Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
PossiblyAu gabachori ni mwenzao (wapigaji)??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PossiblyAu gabachori ni mwenzao (wapigaji)??
Wanasema vimeumanaHawako pamoja si unaskia wanaompiga mmoja anasema "wanakera hawa"
Sasa Kama mtu ni muhalifu ,wamuache ?Wapambe wanaomchapa wanajiona wameyapatia maisha
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Kha!kha!,punguza hasira Mkuu.Tumwache Mzee wetu ajipumzikie.Hao ndio watu waliopo Tanzania. Roho mbaya, katili, wasiojali na kuthamini utu wa mtu.
Hiyo ndiyo legacy pekee aliyotuachia Mwendazake
Ina maana Mahakama hazina kazi
Hakuna aliebisha kwamba amefanya kosa, lakini kila siku tunahimiza raia kuacha kujichukulia sheria mkononi, sasa wao wanafanya nini hapo? WashughulikiweNimeona mahali fulani,mpigwaji mara nyingi hujifanya polisi na atakuwa amewaliza wengi hapo,akajipandisha na kujifanya anatoka intel ya polisi, wenyewe wakasikia na kuanza kumfuatilia na kuweka mtego,inawezekana chambo ilikuwa huyo mtu mwekundu aliyepo hapo.
Solution pia ni kuacha kujichukulia sheria mkononi, maana wengi wameshauwawa wakiwa hawana hatia, pia wanapewa adhabu zisizoendana na makosa yao. Tuache kuvunja sheria kwa mtu alievunka sheria, maana wote mnakuwa wahalifu na mnapaswa kwenda gerezaniHuo muda WA kwenda mahakamani Nani atawalipa ? Solution ni kuacha uhalifu
Kweli kabisa mkuuNI KOSA KUBWA KUJIFANYA AU KUVAA KOFIA YA POLISU WETU WAAMINIFU,KUNA MAOVU MENGI SANA YANAYIFANYWA NA WATU WANAOJIFANYA KUWA NI POLISI,NASISI BILA KUTAFAKARI AU BILA KUJUA TUNAPELEKA MALALAMIKO YETU POLISI TUKIWATUHUMU BURE YOTE KWA SABABU YA WATU WA AINA HII
Well said mkuuHao wachapaji wanaonekana ni watu kama askari hivi, wanamshughulikia muhalifu, wanajaribu kutoa onyo, hawa vibaka na matapeli wameumiza watu sana na wakienda sheriani kesho wako mtaani wakiumiza mamia ya watu wengine ,acha apate onyo hata akiachiwa akumbuke kuna onyo kabla ya sheria, tumekuwa walalamishi wa kila kitu,walainiii. Watu wakiiba tunalalamika, wakichapwa tunalalamika, kuna aina ya watu lugha wanayoilewa ni hiyo tu,tena wangemuongeza tena na tena. Mpaka aonyeshe wenzake wote! Mnata wahalifu walelewe na jamii, haiwezekani!!
Wewe ni Polisi. Raia wachache sana wanaweza kutumia neno polisi waaminifu. Wachache sana.NI KOSA KUBWA KUJIFANYA AU KUVAA KOFIA YA POLISU WETU WAAMINIFU,KUNA MAOVU MENGI SANA YANAYIFANYWA NA WATU WANAOJIFANYA KUWA NI POLISI,NASISI BILA KUTAFAKARI AU BILA KUJUA TUNAPELEKA MALALAMIKO YETU POLISI TUKIWATUHUMU BURE YOTE KWA SABABU YA WATU WA AINA HII
Kapost nini huyo jamaa [emoji23][emoji23]sasa kama linatumia simu kindezi kama haya mapopoma mengine humu jf kwanini lisionywe!!!
stick bado ni adhabu rasmi kwa watu wakorofi[emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila jamaa wanajua kutandika fimbo
Kalio la jamaa wamelitandika haswaaa
Huyo jamaa nae kiboko haoneshi kama zimemwingia kabisa au sababu ya jeans
Wewe utakuwa form foul failure uongo?sasa kama linatumia simu kindezi kama haya mapopoma mengine humu jf kwanini lisionywe!!!
stick bado ni adhabu rasmi kwa watu wakorofi[emoji23][emoji23][emoji23].
Hajajifanya kutoka intel ya polisi, wanaompiga siyo polisi(kwa sababu mmoja wao niliyemtambua anatoka idara nyingine, nilishafanya Naye kazi 'joint operation') hivyo hata hao wengine bila shaka watakuwa nae upande huo.Nimeona mahali fulani,mpigwaji mara nyingi hujifanya polisi na atakuwa amewaliza wengi hapo,akajipandisha na kujifanya anatoka intel ya polisi, wenyewe wakasikia na kuanza kumfuatilia na kuweka mtego,inawezekana chambo ilikuwa huyo mtu mwekundu aliyepo hapo.
Hao ndio watu waliopo Tanzania. Roho mbaya, katili, wasiojali na kuthamini utu wa mtu.
Hiyo ndiyo legacy pekee aliyotuachia Mwendazake
Nchi imeshafunguliwa namna hiyo nadhani sasa Kila mtu anafurahia matunda.
Haya tumeona anayepiga mgambo wa jiji la Ilala sawa si mnajua op zenu mlikutana jeikeitiii mazee ila mwambie ameonekana akifanya unyama hadharaniHajajifanya kutoka intel ya polisi, wanaompiga siyo polisi(kwa sababu mmoja wao niliyemtambua anatoka idara nyingine, nilishafanya Naye kazi 'joint operation') hivyo hata hao wengine bila shaka watakuwa nae upande huo.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hajajifanya kutoka intel ya polisi, wanaompiga siyo polisi(kwa sababu mmoja wao niliyemtambua anatoka idara nyingine, nilishafanya Naye kazi 'joint operation') hivyo hata hao wengine bila shaka watakuwa nae upande huo.