Nani kama Sugu?

Nani kama Sugu?

Yale hayakua mapenzi/ Sugu Moto chini ndio track zake nazozikubali mpaka keshoooo huyu jamaa alikua noma na bdo namkubali. Anakwambia Bangi nilivuta zamani na ndio mpaka leo inanipa misimamoo.
 
Yale hayakua mapenzi/ Sugu Moto chini ndio track zake nazozikubali mpaka keshoooo huyu jamaa alikua noma na bdo namkubali. Anakwambia Bangi nilivuta zamani na ndio mpaka leo inanipa misimamoo.

Hayakuwa mapenz ni moja kati ya nyimbo zangu bora zinazoelezea mambo ya break up. Naukubali kinoma
 
Mle ndani kaongea sna kwa hisia mtu mzima Sugu, alaf naskia ilikua stori ya kweli.

Nimeupiga sana mwaka huu, as i was going through the same, wimbo una feeling zinazoishi.

Mwingine Ringa na Marehem Albert Mangwair, the king of Free style him self. Nao naukubali balaa
 
[QUOTE =pinno;13116932]Nimeupiga sana mwaka huu, as i was going through the same, wimbo una feeling zinazoishi.

Mwingine Ringa na Marehem Albert Mangwair, the king of Free style him self. Nao naukubali balaa[/QUOTE]

Pole sana. Albert nyimbo yake ya mapenz nayoikubali san ni dakika 1 na Mapenz gani ft jide. Ths songz wll remain The greatest hip hop lov songz in Tz
 
Balozi bado nipo, nipo nipo kwenye chart kwenye chart! Na uhakika kila mwaka nashika moja namba natamba.........

Balozi na sugu nani wa kwanza kutoa wimbo? Wakati huo nilikuwa form one.
 
Kweli Sugu ametoka mbali. Nakumbuka 1995 niko Darasa la 7 alikuwa anauza album yake ya kwanza mwenyewe "Ni Mimi" pale Coco Beach. Huku nikimsikiliza ndani ya Radio One na Mike Mhagama ndani ya Show ya Dj Show. Daah!
 
Kweli Sugu ametoka mbali. Nakumbuka 1995 niko Darasa la 7 alikuwa anauza album yake ya kwanza mwenyewe "Ni Mimi" pale Coco Beach. Huku nikimsikiliza ndani ya Radio One na Mike Mhagama ndani ya Dj Show. Daah!
 
Balozi nimemsi sana na songi lake Fulani hivi amazing lina chorus hii hapa

" wengi walikuepo sasahivi wako wapi wako wapi.....balozi bado nipo ninatesa kwenye chati kwenye chati ....nashika ileile ....ile moja nambaaa.....natambaa......."

Jamaa nimemkumbuka sana japo nilikua mdogo kipindi hicho but nilikua nafutilia vizuri sana.

Kumbe sasa nimeshaelewa hapa ndio maana huwa hatuelewani kumbe chekechea mpo wengi!

Kumbe wakati Sugu na Dola soul wanashiriki mundial festival Amsterdam Holland wewe ulikuwa unanyonya? Ndio maana watoto wote ni vigumu kujuwa wasanii waliofanya sana tour za ulaya ni Xplastaz kutoka Arusha, Ndio maana kelele zimekuwa nyingi humu Diamond akijamba kwenu ni jambo la ajabu au ndio wa kwanza kumbe tatizo umri? Ok nimekuelewa sasa, Nyimbo inaitwa kwenye chart aliflow kwa beat zinazoendana na za Still dre ya Dr Dre zao la After math record baada ya kujitenga kutoka Death Row Records ya Suge night.
 
'Niko kwenye microphone, hata unipe nini sitamani sioni, Ni mimi.
Ni mimi kama King kong, Hapa mpaka Hong Kong ............
 
Balozi na sugu nani wa kwanza kutoa wimbo? Wakati huo nilikuwa form one.

Balozi Dola soul alikuwa Diplomatz na kina Saigon kama sikosei, wa kwanza kutoa single ni Diplomatz na shooting yao ilibamba sana kipindi kile kwenye nyimbo ya Are you down with Diplomatz.

Sugu alikuwa tayari anayo single yake lakini pesa ya kurokodi ilikuwa ndio utata maana ajira yake alikuwa ni gate men pale BP na anajitegemea na amepanga Mbagala hapa kilikuwa kikwazo cha yeye kurecord mapema hakuwa na uwezo wa kulipia na ukumbuke studio yenye ubora wakati ule ilikuwa ni Don Bosco upanga kipindi hiki Master Jay alikuwa UK kama sikosei.

Kipindi hiki Diplomatz na Kwanza Unity waliweza kukitawala kwa sababu ni watoto wa Upanga walikuwa na backup kubwa ya washua au kaka zao waliokwenda kupiga box mamtoni kitambo.

Na ikumbukwe kipindi hiki ilikuwa ni ndoto kwa soul artist kufanya muziki ilikuwa ni wakati wa vikundi na hata mashindano ya Rap Taifa Sugu hakuwa na sifa ya kushiriki bali alikuwa anaomba nafasi ya kuperform single yake ili ajurikane bila malipo.
 
Kumbe sasa nimeshaelewa hapa ndio maana huwa hatuelewani kumbe chekechea mpo wengi!

Kumbe wakati Sugu na Dola soul wanashiriki mundial festival Amsterdam Holland wewe ulikuwa unanyonya? Ndio maana watoto wote ni vigumu kujuwa wasanii waliofanya sana tour za ulaya ni Xplastaz kutoka Arusha, Ndio maana kelele zimekuwa nyingi humu Diamond akijamba kwenu ni jambo la ajabu au ndio wa kwanza kumbe tatizo umri? Ok nimekuelewa sasa, Nyimbo inaitwa kwenye chart aliflow kwa beat zinazoendana na za Still dre ya Dr Dre zao la After math record baada ya kujitenga kutonga Death Row Records ya Suge night.

Acha kumbwela basi ..hivi kwa Akili yako hiyo unayojidai ya kijanja mtoto anayenyonya au wachekechea anaelewa nini basi? ...Sitaki kubishana na wewe maana tangu muda nakujua wewe ni MTU wa kariba gani na sijakujua Leo .so tusiende mbali sana kama unadhani Mimi ni mdogo saaaana!!! Ibebe hivohivo kwenye akili yako ...maana ndivyo hapo uwezo wako wa kufikiri ulipofika kikomo.

Ova and out.
 
Back
Top Bottom