Nani kamuelewa Mwigulu baada ya kuhojiwa na spika Tulia kupitia jibu hili?

Budget ya tz trillion 42, yeye anazungumzia trillion 300 za Kitu Gani!?? Au funika kombe!! Hatujawahi kuwa na budget ya trillion 300 kama taifa!!
Iko hivi mbunge Luhaga Mpina ameuliza swali hili hapa chini [emoji116]
 
Kitwanga nae alikuwaga na jambo na lilianza ivi ivii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…