KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Huko twitter ndo usisemeInashangaza sana hadi kipindi cha michezo kwenye hizi FM radio usiku huu wanajadili hii issue!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko twitter ndo usisemeInashangaza sana hadi kipindi cha michezo kwenye hizi FM radio usiku huu wanajadili hii issue!
Mkuu kwenye kodi mnafungwa mengi sanaHata ya trillioni 100 sidhani kama tumewahi kufika
Sahihi, kilichokuwa kinazungumzwa ni ile fedha ya makinikia iliyobado pending.Budget ya tz trillion 42, yeye anazungumzia trillion 300 za Kitu Gani!?? Au funika kombe!! Hatujawahi kuwa na budget ya trillion 300 kama taifa!!
Kwa mtu baki kusahau kirefu cha TRA sio maajabu sana. Ila ukiwa kamishna wa TRA, alafu ukasahau kirefu cha TRA basi wewe ni kichekesho.Mi ht sielewi watu wanapanic nin
Wkt ni km mtu asahau kirefu cha TRA ama PCCB
Itakua kichwa kilijamKwa mtu baki kusahau kirefu cha TRA sio maajabu sana. Ila ukiwa kamishna wa TRA, alafu ukasahau kirefu cha TRA basi wewe ni kichekesho.
Utakumbuka nini sasa?
Hiyo Kodi ya Noah!! Hekaya za abunuwas wangeachana nayo wasijetupa matumaini makubwa yasiyokuwepoSahihi, kilichokuwa kinazungumzwa ni ile fedha ya makinikia iliyobado pending.
yaani hata mwenyewe mwiguru akisikiliza hii video anaweza angua kicheko peke yakeYa ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya
Hizi ni zile za Barrick!Hata ya trillioni 100 sidhani kama tumewahi kufika
weka jibu lote hiki ni kipande tu. huko mbele alifafanua ndipo spika akasema sawa
Sasa mbona alishindwa kusema?