Niliwahi kumkoromea mara kadhaa kuwa asiniquote kwenye nyuzi zake.Kweli kabisa, mwanzoni nilikuwa simuelewei kabisa hata threads zake nilikuwa naskip ila taratibu nikaanza kuona mbona yupo tofauti na navyomdhania.
MtoeNiliyemmiss nimemwignore sasa itakuwajeπ€
Umetisha sana macho...mazuriπ€£Mshikaji wangu ukipita hapa nimekumiss sana
Ni mtu poa sana ila inahitaji muda kidogo kumuelewa, na bado haeleweki ila tunaenda nae hivyo hivyo. Unique Flower huna baya πNiliwahi kumkoromea mara kadhaa kuwa asiniquote kwenye nyuzi zake.
Baadae nikaona ninamkatili bure tu hana baya na mtu ...ndivyo alivyoπ€£π€£
πMtoe
Tumpe muda atakuwa bora zaidiNi mtu poa sana ila inahitaji muda kidogo kumuelewa, na bado haeleweki ila tunaenda nae hivyo hivyo. Unique Flower huna baya π
Poa mkuuTumpe muda atakuwa bora zaidi
ππUmemalizia kijeuri sana mdogo wanguπ€£
ππVyema nafurahi kwa hilo mamy
Tatizo wewe ni dume lakini unajifanya jike.
Nitafuteni tu mtanipataTumpe muda atakuwa bora zaidi
πππππ X 100ππ
nafuu Wewe dishi limehamia matakonijumlisha na dish limehama uelekeo
Unatafuta uadui na mieNi mtu poa sana ila inahitaji muda kidogo kumuelewa, na bado haeleweki ila tunaenda nae hivyo hivyo. Unique Flower huna baya π
Shogaa sijakuzoea kutukana.nafuu Wewe dishi limehamia matakoni
I love u mama mwaaMwaaNa kwenye maisha hutakiwi kueleweka na kila mtu.
Ukiona mtu hakuelewi mwache apite hivi..ππΏ
ππππππππππ X 100