Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
wapi nimesema hivyo? NukuuHalf american hata wewe unaniona njemba sawa bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi nimesema hivyo? NukuuHalf american hata wewe unaniona njemba sawa bwana
Umelikewapi nimesema hivyo? Nukuu
huwa napita nalike comments zote nazosoma, haimaanishi kuwa nakubaliana na kilichosemwaUmelike
Nafikiri kwakuwa hawajapata nafasi ya kumfahamu.ninaimani unafahamiana na Unique Flower .jitahidi watu wamjue na wao.Unique Flower ni mtu poa basi watu hawamwelewi🤣🤣
Mtu poa sana huyo hana baya 😁Nafikiri kwakuwa hawajapata nafasi ya kumfahamu.ninaimani unafahamiana na Unique Flower .jitahidi watu wamjue na wao.
Kiukweli hanaga kisirani(kwakupitia mwandiko)
Sijwahi kuonana naye live zaidi ya kumsoma hapa jf.Nafikiri kwakuwa hawajapata nafasi ya kumfahamu.ninaimani unafahamiana na Unique Flower .jitahidi watu wamjue na wao.
Kiukweli hanaga kisirani(kwakupitia mwandiko)
🥰🥰🥰Mtizamo wako tu kuwa naringa, ila siringi wala sina cha kuringia.
Hata mimi naona.hanaga baya kabisa😁😁Mtu poa sana huyo hana baya 😁
Akifa haozi
Ahaaa sawa.Sijwahi kuonana naye live zaidi ya kumsoma hapa jf.
Jambo ambalo linanifanya nione ni mtu poa....hana kinyongo kabisa.
Mengine ni madhaifu ya kawaida ya kibinadamu
Ishu ni kumuelewa.Hata mimi naona.hanaga baya kabisa😁😁
Mzima lakini baba
Uko sahihi kijana.Ishu ni kumuelewa.
Mzima kabisa sijui wewe mama ?
Mimi niko salama kabisa baba ninamshukuru MunguIshu ni kumuelewa.
Mzima kabisa sijui wewe mama ?
Na kwenye maisha hutakiwi kueleweka na kila mtu.Uko sahihi kijana.
Kila mtu ana aina flani ya uwasilishaji wa jambo lake.
Unaweza usimwelewe au aka sound vinginevyo tofauti na alicholenga ku deliver kwa hadhira wake
Kweli kabisa, mwanzoni nilikuwa simuelewei kabisa hata threads zake nilikuwa naskip ila taratibu nikaanza kuona mbona yupo tofauti na navyomdhania.Uko sahihi kijana.
Kila mtu ana aina flani ya uwasilishaji wa jambo lake.
Unaweza usimwelewe au aka sound vinginevyo tofauti na alicholenga ku deliver kwa hadhira wake
Umemalizia kijeuri sana mdogo wangu🤣Na kwenye maisha hutakiwi kueleweka na kila mtu.
Ukiona mtu hakuelewi mwache apite hivi..👉🏿
Kwahiyo umeamua kuwajaza kwenye kifusoMshikaji wangu ukipita hapa nimekumiss sana
Vyema nafurahi kwa hilo mamyMimi niko salama kabisa baba ninamshukuru Mungu